Mfuko wa Wakfu wa Benjamin Mkapa watanuka

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Taasisi ya Benjamin Mkapa (BMF), Dk Adeline Kimambo amesema Mfuko wa Wakfu (Endowment Fund) wa taasisi hiyo umetanuka kutoka Sh1 bilioni mwaka 2022 hadi kufikia Sh2.3 bilioni mwaka 2024. Dk Kimambo amesema hayo leo Jumatano, Julai 31, 2024 kwenye kilele cha maadhimisho ya tatu ya kumbukizi…

Read More

Benki ya Absa Tanzania Yazindua Akaunti ya Akiba ya Vijana

Benki ya Absa Tanzania imezindua akaunti ya Akiba ya Vijana, bidhaa mpya ya kifedha iliyoundwa mahsusi kwa vijana wa Kitanzania wenye umri wa miaka 18 hadi 30. Hafla rasmi ya uzinduzi iliyofanyika leo, inaashiria hatua muhimu katika kujitolea kwa benki kuwawezesha vijana na kukuza utamaduni wa kuweka akiba. Akizungumza katika hafla ya uzinduzi, Bi. Ndabu…

Read More

Sh425 milioni kuwapatia maji watu 20,036 Hanang

Hanang. Hatimaye wananchi wapatao 20,036 waliokuwa wakikabiliwa na uhaba wa maji na usafiri wa mazingira wilayani Hanang Mkoa wa Manyara, wanatarajia kuondokana na adha hiyo baada ya mradi wa Sh425 milioni kuzinduliwa wilayani humo. Mradi huo uliotekelezwa na Shirika la Water Aid kwa ufadhili wa Kanisa la Yesu Kristo la Watakatifu wa Siku za Mwisho…

Read More

Feitoto afunguka madini aliyopewa na kocha Wydad Rhulan

KIUNGO Mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’ amesema alikuwa na wakati mzuri na kocha wa Wydad Casablanca, Rhulani Mokwena ambaye amempa mbinu za kuendelea kuwa bora. Kiungo huyo amesema amepata nafasi ya kuzungumza na kocha huyo muda mchache baada ya timu yake kupokea kichapo cha mabao 4-1 dhidi ya Wydad Casablanca. “Mara baada…

Read More

Hali mbaya kiuchumi kwa mawakili zamkera Sungusia

Dodoma. Rais wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS), Harold Sungusia amesema anasikitishwa na baadhi ya mawakili kuacha taaluma hiyo na kujiingiza kwenye biashara ndogondogo kujikimu kimaisha. Sungusia ameyasema hayo Julai 31, 2024 wakati mkutano mkuu wa Chama cha Wakili Welfare Mkoba, kinachojumuisha mawakili wa kujitegemea na Serikali. Amesema wataendelea kuhamasishana na kufanya kazi kwa pamoja…

Read More

MATUMAINI YA WATANZANIA OLYMPIC YAMEBAKI KWENYE MARATHON

MICHUANO ya Olympic 2024 inaendelea huko nchini Ufaransa mapema leo huku matumaini ya Watanzania yakibaki kwa wakimbia riadha wa mbio ndefu (Marathon) kwakua washiriki wengine wakiwa wameondoshwa kwenye michuano hiyo. Ndoto ya kubeba medali kadhaa kwenye michuano ya Olympic mwaka huu inaweza kutimia kwakua Tanzania imepeleka wakimbiaji hofdari wa mbio ndefu ambao wamekua na uzoefu wa muda…

Read More

Rais Samia afanya uteuzi, wamo Balozi Sefue, Profesa Assad

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Katibu Mkuu Kiongozi mstaafu, Balozi Ombeni Sefue kuwa Mwenyekiti wa Tume Rais ya Kutathmini na Kushauri kuhusu Masuala ya Kodi nchini humo. Tume hiyo iliyotangazwa leo Jumatano, Julai 31, 2024 na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu ina wajumbe wanane waliobobea kwenye nyanja za uchumi akiwemo Gavana…

Read More

Yanga yashtuka kwa Maxi | Mwanaspoti

ULIMUANGALIA Maxi Nzengeli kwenye mechi zake tatu za kirafiki za Sauzi? Mabosi wa Yanga wameshtukia jambo na kumuita mezani kuanza mazungumzo mapya ya mkataba mpya. Maxi atakapoanza msimu ujao ndio utakuwa mwaka wa mwisho wa mkataba wake wa miaka miwili na Yanga aliousaini akitokea Union Maniema ya DR Congo. Kwenye mechi tatu za kirafiki kiungo…

Read More