KUTOKA KAMBINI MOROCCO… Azam FC haitaki kurudia makosa

BAADA ya ratiba ya mechi za hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kutoka na Azam FC kupangiwa APR ya Rwanda na baadaye Pyramids ya Misri endapo itafuzu uongozi wa klabu hiyo hautaki kurudia makosa. “Katika misimu miwili iliyopita tulipangwa na timu ambazo tuliziona tunazimudu na tungeweza kuzitoa kirahisi,” anasema Nassor Idrisa ‘Father’, mwenyekiti…

Read More

DIWANI AMPONGEZA RAIS SAMIA KWA KUTEKELEZA ILANI YA CHAMA

Mwandishi Wetu, Dodoma. DIWANI wa Kata ya Tambuka Reli jijini Dodoma Juma Mazengo amempongeza Rais Dk.Samia Suluhu Hassan kwa kutekeleza ilani ya Chama Cha Mapinduzi kikamilifu hivyo kuyagusa makundi yote. Mazengo aliyasema hayo wakati akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa ilani ya CCM katika kata ya Tambuka Reli. Alisema kutokana na kazi nzuri anazofanya Rais Dk.Samia…

Read More

WHI kutekeleza mradi wa Nyumba 101 Mikocheni, Dar es Salaam

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Watumishi Housing Investments (WHI) inatarajia kuanza utekelezaji wa mradi wa nyumba 101 katika eneo la Mikocheni Regent Estate jijini Dar es Salaam. Ujenzi huo utaanza mwezi Agosti 2024, ambapo jengo la ghorofa 12 lenye nyumba 101 litajengwa. Kila mnunuzi atamilikishwa nyumba atakayoinunua, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Mpango wa…

Read More

Taliban yakatiza mahusiano na baadhi ya balozi zake – DW – 30.07.2024

Hatua hii ya Taliban ni jaribio la hivi karibuni zaidi la kudhibiti balozi za Afghanistan zilizoko katika nchi za magharibi, tangu kundi hilo liliporejea madarakani  mnamo mwaka 2021. Viongozi wengi wa serikali ya Taliban wamewekewa vikwazo na hakuna taifa linalowatambua kama watawala halali wa Afghanistan. Soma pia;Mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu Afghanistan wafunguliwa Doha…

Read More

DKT. BITEKO AZINDUA SERA YA TAIFA YA BIASHARA

Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka watumishi Serikalini kufanya kazi kwa kuzingatia maadili na misingi ya utoaji wa huduma ili kuleta matokeo Chanya na sio kuwakwamisha watu wanohitaji huduma. Dkt. Biteko ametoa agizo hilo (Julai 30,2024) wakati akizindua Sera…

Read More

Abiria 100,000 wasafiri kwa treni ya SGR, Samia kuizindua rasmi

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Wakati Rais Samia Suluhu Hassan akitarajiwa kuzindua rasmi treni ya umeme ya SGR, Shirika la Reli nchini (TRC) limesema abiria 100,000 wamesafiri tangu ilipoanza kutoa huduma Julai 14 mwaka huu. Rais Samia anatarajiwa kuzindua treni hiyo Agosti Mosi mwaka huu kushuhudia utekelezaji wa maagizo aliyoyatoa mwishoni mwa mwaka jana ambapo…

Read More