Dc shaka afika Kijiji kinachodaiwa kuwa na wachawi

Mkuu wa wilaya ya Kilosa Shaka Hamdu Shaka amefika katika Kijiji Cha Kitete baada ya kupata malalamiko kutoka kwa wananchi baada ya kukoseka huduma ya umeme katika eneo hilo licha ya nguzo za umeme kupitia ndani ya Kijiji hicho. Wananchi hao wakizungunza wakati wa Mkutanano wa hadhara katika Kijiji hicho ambapo wamesema kuwa kumekua na…

Read More

Vyumba vya mateso na baa za karaoke katika 'mashamba ya utapeli' yanayoendeshwa na genge – Global Issues

Inakadiriwa kuwa kuna mashirika 400 hivi ya uhalifu nchini Ufilipino pekee. Takriban kila mara huendeshwa kwa siri na kinyume cha sheria pamoja na shughuli zilizoidhinishwa na halali za michezo ya kubahatisha mtandaoni. Kuongezeka kwa mashamba ya utapeli mtandaoni yanayolenga wahasiriwa kote ulimwenguni ni jambo jipya ambalo lililipuka wakati wa COVID 19 janga kubwa. Tume ya…

Read More

Khan, Whyte wamjaza Tyson | Mwanaspoti

MABONDIA Amir Khan na Dillian Whyte wametoa mtazamo wa pambano la marudiano baina ya mabondia Tyson Fury na Oleksandr Usyk linalotarajiwa kufanyika Desemba, mwaka huu, Saudi Arabia. Kahn anakiri ugumu wa Fury kumpiga Usyk, lakini kama atajiandaa vyema atalipa kisasi kwani ana uwezo wa kumpiga mpinzani wake huyo. Whyte kwa upande wake amemtaka Fury kutojiamini…

Read More

Uchaguzi wa Msumbiji na mustakabali wa wananchi wake

Msumbiji inatarajia kufanya uchaguzi mkuu Oktoba 9, mwaka huu, ukiwa ni moja kati ya chaguzi muhimu katika historia ya nchi hiyo, wananchi wanapata fursa ya kuchagua viongozi wao wa kitaifa, ikiwa ni pamoja na Rais na wabunge. Siyo mara ya kwanza kwa Taifa hilo kufanya uchaguzi. Baada ya kupata uhuru wake kutoka kwa Wareno, mwaka…

Read More

TBS YASHIRIKI MAONESHO YA SABASABA, YATOA ELIMU KUHUSU MASUALA YA UBORA WA BIDHAA

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeendelea kutoa huduma kwa wajasiriamali ,wafanyabiashara na wadau mbalimbali wa Viwango katika Maonesho ya  48 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam Sabasaba ambapo wamekuwa wakiwapa taarifa ya huduma ambazo wanazitoa ikiwemo uandaaji wa viwango,usajili wa bidhaa na majengo ya vyakula na vipodozi. Akizungumza na Waandishi…

Read More

Savio yaanza kuonyesha ubabe BDL

Savio imeonyesha ukubwa wake katika Ligi ya  Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), baada ya kuifunga  Mchenga Star kwa pointi 82-77 katika mchezo uliofanyika juzi usiku kwenye Uwanja wa Donbosco Osterbay. Mchezo huo ulishuhudiwa na mashabiki wengi wakitaka kujua nani angeibuka na mshindi siku hiyo.  Akizungumza na Mwanaspoti baada ya mchezo kumalizika, kocha mkuu…

Read More

KONA YA MALOTO: Vifo vya mabilionea Tanzania inajifunza nini?

Agosti 1906, mwandishi wa Marekani, Ida Tarbell, alikamilisha mfululizo wa makala ambayo aliyapa kichwa “John D Rockefeller: A Character Study”, kwa Kiswahili unaweza kuiweka hivi, “John D Rockefeller: Somo la Uhusika.” Nakala ya kwanza ilitoka mwaka 1905 kwenye Jarida la McClure. Ida, katika makala hayo, alifichua jinsi bilionea huyo wa Standard Oil, alivyokuwa akihusika na…

Read More

Kahama Sixers yaichapa Risasi | Mwanaspoti

Timu ya kikapu ya Kahama Sixers imeifunga Risasi kwa pointi 87 -64 katika mchezo wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Shinyanga uliofanyika  Uwanja wa Kahama. Akizungumza na Mwanasposti kwa simu kutoka Shinyanga, kamishina wa ufundi na mashindano wa mkoa huo, George Simba alisema timu nne ndizo zinazoshiriki michuano hiyo. Alizitaja timu hizo kuwa ni Kahama…

Read More