Aliyetamani pacha wawili, ajifungua wanne

Geita. Mkazi wa Nyankumbu, Wilaya na Mkoa wa Geita, Elizabeth Vicent (30) amejifungua watoto wanne ikiwa kama majibu ya maombi yake kupata watoto zaidi na matamanio ya mumewe ya kupata watoto pacha. Mwanamke huyo ambaye alikuwa watoto wengine watatu, alijifungua pacha hao Julai 3, 2024 katika Hospitali ya Halmashauri ya Mji Geita na watoto hao…

Read More

Jaji Siyani aonya ucheleweshaji kesi

Lushoto. Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mustapher Siyani amewataka majaji wapya wa Mahakama Kuu ya Tanzania kuhakikisha wanashughulikia mashauri mapema na kuondoa mianya yote inayochelewesha mashauri hayo, ili haki ipatikane kwa wakati. Siyani amenena hayo wakati akifungua mafunzo elekezi ya majaji wanne wapya wa Mahakama Kuu ya Tanzania jana Julai 8, 2024 katika…

Read More

Shahidi aieleza mahakama Alex Msama alivyomwachia eneo

Dar es Salaam. Raymond Shao ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni jinsi mfanyabiashara Alex Msama alivyomwambia amuachie eneo liliopo Mbezi Beach ili amlipe fidia ya mali ikiwemo nyumba mbili pamoja na fidia ya mali Sh100 milioni. Inadaiwa kati ya Aprili hadi Oktoba 2016, jijini  Dar es Salaam mshtakiwa Alex Msama aligushi hati yenye namba D/KN/13504/3/TMM…

Read More

Abiria 4,000 wanapanda treni ya SGR kila siku

Dar es Salaam. Treni ya Umeme ya Kisasa (SGR) imeonekana kuwavutia wasafiri wengi tangu ilipoanza kutumika nchini, ikisafirisha abiria zaidi ya abiria 4,000 kwa siku, kwa mujibu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC). Idadi ya abiria wanaosafiri kwa treni hiyo kwa siku imefikia kiwango hicho katika kipindi ambacho safari pekee zinazofanyika ni katika mikoa ya…

Read More

Betting Sites 5 Bora Tanzania za Ushindi: Ushindi Unaanzia Hapa!

Katika miaka ya hivi karibuni, tasnia ya michezo ya kubashiri nchini Tanzania imepata umaarufu mkubwa sana. Watanzania wengi wanapenda kubashiri michezo mbalimbali hasa hasa soka, ikifatiwa na basketball, na mengineyo, kwa matumaini ya kushinda fedha za ziada. Hapa chini, tumekusanya orodha ya tovuti 5 bora za kubashiri nchini Tanzania, ambazo zimepata umaarufu sana kwa huduma…

Read More