DKT. MRAMBA ATEMBELEA BANDA LA CBE SABASABA

Naibu Mkuu wa Chuo cha Elimu ya Biashara(CBE), anayeshughulikia Taaluma Utafiti na Ushauri Dk. Nasibu Mramba leo, Julai 09,2024 ametembelea Maonesho ya Kimataifa ya 48 ya Biashara (Sabasaba), na kufika katika Banda la Chuo hicho ambapo pamoja na mambo mengine alipata nafasi ya kusikiliza kazi za kibunifu zilizifanywa na wanafunzi wa Chuo hicho. Dk. Mramba…

Read More

Trafiki waliodaiwa kuchezea mashine wafutwa kazi

Moshi. Jeshi la Polisi nchini Tanzania limewafukuza kazi na kuwafuta jeshini askari wake wanne wa usalama barabarani Wilaya ya Mwanga, Mkoa wa Kilimanjaro kwa tuhuma za kufuta picha kwenye kamera za jeshi hilo walizokuwa wanatumia kupima mwendokasi wa madereva. Taarifa ya Msemaji wa Jeshi hilo, David Misime aliyoitoa leo Jumanne, Julai 9, 2024 imesema askari…

Read More

VYAMA VYA SIASA VYATAKIWA KUEPUKA MIGOGORO

MSAJILI wa Vyama Vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi amevitaka Vyama Vya Siasa kuepuka migogoro ambayo imekuwa ikijitokeza kwenye vyama hivyo kwani kunaweza kusababisha kuleta mifarakano katika taifa. Agizo hilo amelitoa leo Julai 9,2024 jijini Dar es Salaam wakati akifungua mafunzo ya siku mbili kwa viongozi wa vyama vya siasa nchini yakiwa na lengo la…

Read More

Dawa 127 za asili zasajiliwa, ipo ya Kisukari

Dar es Salaam. Wakati mwanafunzi kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) akiwa amekamilisha utafiti wake na kutengeneza dawa ya kisukari inayotumia mitishamba, Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala limesema hadi Juni 2024 dawa 127 zimesajiliwa. Mbali na kusajiliwa kwa dawa hizo, baraza limeweka wazi kuwa hakuna dawa ya figo wala Ukimwi iliyosajiliwa kwa sababu…

Read More