Maghorofa Dar yashuka bei, kiini chatajwa

Matokeo ya sensa ya majengo ya mwaka 2022 yanaonesha kuwa idadi ya majengo yote Tanzania ni 14,348,372 ambapo 13,907,951 yapo Tanzania Bara na majengo 440,421 yapo Tanzania Zanzibar. Aidha majengo mengi (asilimia 94.4) Tanzania siyo ya ghorofa. Majengo tisa kati ya kumi ni kwa ajili ya makazi na asilimia 3.4 ni ya biashara – makazi….

Read More

Mwabukusi kutua mahakamani kesho akipinga kuenguliwa

Dar es Salaam. Hatimaye wakili Boniface Mwabukusi aliyeenguliwa kwenye kinyang’anyiro cha urais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), amepata marejeo ya uamuzi wa Kamati ya Rufaa na anatarajiwa kuyawasilisha mahakamani kesho Julai 10. Mwabukusi aliyekuwa miongoni mwa wagombea sita wa nafasi hiyo, alitangaza kupinga uamuzi uliotolewa Julai 6, 2024 na kamati hiyo. Wagombea wengine…

Read More

MAMLAKA YA DAWA NA VIFAA TIBA (TMDA), IMETOA WITO KWA WANANCHI KUENDELEA KUZINGATIA MATUMIZI SAHIHI YA DAWA

    Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA), Adam Fimbo, akizungumza na waandishi wa Habari kwenye Maonesho  ya 48 ya Kimataifa ya Biashara (Sabasaba), yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere Jijini Dar es Salaam. Na: Mwandishi wetu Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA), imetoa wito kwa wananchi kuendelea…

Read More

Kucheza na njaa kulivyomkimbiza Nelly Ligi Kuu

UKITAJA mabinti warembo 10 wanaofanya vizuri katika Ligi Kuu ya Wanawake Bara, basi huwezi kumuacha mwanadada Nelly Kache anayekipiga Alliance Girls ya jijini Mwanza. Licha ya kucheza Tanzania, lakini ndoto zake kubwa ni kusakata kabumbu Ufaransa ambako anaamini atakuza zaidi kipaji chake. “Tanzania unapata fursa nyingi ya kuonekana. Naamini kuna mawakala mbalimbali wanafuatilia ligi hii…

Read More

Modi amuhimiza Putin kutafuta amani kwa njia ya mazungumzo – DW – 09.07.2024

Waziri Mkuu Modi alitoa matamshi hayo kwenye televisheni, alipokutana na Rais Putin katika Ikulu ya Kremlin, kwenye ziara yake nchini Urusi.  “Mheshimiwa, vita, mapambano, au mashambulizi ya kigaidi, kila mtu anayeamini katika ubinadamu anahisi uchungu watu wanapopoteza maisha. Na hata huko, watoto wasio na hatia wanapouawa, kuna mtu anayewaona wanakufa, moyo unauma, ni maumivu yasiyovumilika,…

Read More

Nigeria yaondoa ushuru wa bidhaa kutoka nje

Nigeria. Nchi ya Nigeria inapanga kusitisha ushuru kwa baadhi ya bidhaa za vyakula kutoka nje ikiwa ni pamoja na ngano na mahindi kwa siku 150, ili kujaribu kudhibiti kupanda kwa bei katika taifa hilo lenye watu wengi zaidi barani Afrika. Reuters imemnukuu Waziri wa Kilimo wa Nigeria, Abubakar Kyari jana Jumatatu kwamba hatua hiyo ni…

Read More

Uhamisho wa Kulazimishwa Huwaacha Wanawake wa Afghanistan katika Umaskini Mkubwa – Masuala ya Ulimwenguni

Pakistan na Iran zinaendelea kuwafukuza wakimbizi wa Afghanistan hadi katika nchi yao ya asili, na kuwaacha wanaorejea katika hali mbaya. Credit: Learning Together. Jumanne, Julai 09, 2024 Inter Press Service Julai 09 (IPS) – Mwandishi ni mwandishi wa habari wa kike mwenye makazi yake Afghanistan, aliyepata mafunzo kwa usaidizi wa Kifini kabla ya Taliban kuchukua…

Read More