Raducanu ndio basi tena kwa Murray

LICHA ya kupiga chini kucheza mchezo wa ‘mixed doubles’ pamoja na Andy Murray kwenye michuano ya tenisi ya Wimbledon, mwanadada Emma Raducanu ameshindwa kufikia lengo la angalau robo fainali kwenye michuano hiyo baada ya kuondolewa raundi ya nne na Lulu Sun. Emma ambaye ana taji moja kubwa la tenisi duniani (Grand slam), alipiga chini fursa…

Read More

TANZANIA, MFANO WA KUENDELEZA WACHIMBAJI WADOGO

  Na Wizara ya Madini    Sekta ya Madini ni moja ya nguzo muhimu za uchumi wa Tanzania. Pamoja na mchango mkubwa unaotolewa na Migodi mikubwa inayomilikiwa na Kampuni za ndani na nje ya Taifa sambamba na zile za ubia baina ya Serikali na kampuni za kigeni. Wachimbaji Wadogo wa Madini nchini bado ni tija…

Read More

Dar City, Outsider bado saba tu

WAKATI mzunguko wa pili wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) ukianza mwishoni mwa wiki iliyopita,  umeonyesha kwamba timu za Dar City na UDSM Outsiders zina nafasi kubwa ya kutoboa kucheza hatua ya nane bora. Nafasi ya timu hizo itakuja endapo zitashinda michezo   saba kila mmoja itakayofanya ziwe na pointi 45 katika…

Read More

TMDA YATOA ELIMU MATUMIZI SAHIHI YA DAWA SABASABA

  MkurugenziTMDA YATOA ELIMU MATUMIZI SAHIHI YA DAWA SABASABA Mkuu wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA), Adam Fimbo, akizungumza na waandishi wa Habari kwenye Maonesho  ya 48 ya Kimataifa ya Biashara (Sabasaba), yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere Jijini Dar es Salaam. Na: Mwandishi wetu Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba…

Read More

Kibano kwa vituo holela vya massage ‘uswahilini’

Dar es Salaam. Wakati vituo vya kusinga mwili vikiendelea kuanzishwa katika maeneo mbalimbali nchini, Serikali inakusudia kusimamia ipasavyo sheria inayowataka kujisajili na kuwa na wahudumu waliosomea lasivyo watakumbana na faini isiyopungua Sh500,000, jela miaka miwili au vyote kwa pamoja.  Mbali na hilo, Serikali imebaini wahudumu wengi wanaofanya shughuli hizo maeneo mbalimbali nchini hawana sifa ya…

Read More

MIRATHI YA HANSPOPE: Baba, mtoto yaamriwa wakamatwe

MAHAKAMA Kuu iliyopo katika Kituo Jumuishi cha Utoaji Haki cha Masuala ya Familia (IJC) Temeke, Dar es Salaam imetoa hati ya kukamatwa mkurugenzi mtendaji wa Kampuni ya Z.H. Poppe Ltd, Caeser Hans Poppe na mwanaye Adam Caeser HansPoppe, kwa kuidharau. Mahakama hiyo imeelekeza Caeser na Adam ambaye pia ni mkurugenzi mtendaji wa kampuni hiyo wakamatwe…

Read More