DAWASA wana habari hii ikufikie wewe Mwananchi

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) inapenda kuwatarifu wateja na Wananchi katika mikoa ya Dar es Salaam na Pwani, kuwa zoezi la usomaji mita za Maji utaanza Julai 10 hadi 15 2024. Mamlaka inaomba ushirikiano kwa Wananchi pindi watoa huduma wa DAWASA watakapopita kutekeleza zoezi hili. Baada ya zoezi la…

Read More

Rushwa, muhali vyatajwa mwiba kukabili vitendo vya ukatili

Pemba. Wakati jitihada za kupinga vitendo vya udhalilishaji zikiendelea kisiwani Pemba, muhali na rushwa vimetajwa kuwa mwiba wa kukomesha vitendo hivvyo. Hayo yamebainika leo Jumanne, Julai 9, 2024 wakati wa uzinduzi wa mradi wa uwezeshaji wa kisheria na upatikanaji wa haki kwa wadau wa kupambana na vitendo hivyo kisiwani Pemba. Akizungumza katika mkutano huo, Sheha…

Read More

NG’OMBE BORA KWA MAZINGIRA KAME

Gilbert Msuta Meneja wa Sehemu ya Uhaulishaji wa Teknolojia kutoka Taasisi ya Utafiti wa Mifugo Tanzania (TALIRI) ameeleza kuwa moja ya tafiti kubwa ambayo taasisi imeifanya kwa miaka mingi na ambayo kwa kiasi kikubwa imewafikia wadau wengi ni teknolojia ya ng’ombe aina ya Mpwapwa ambae amezalishwa ili kumuwezesha mfugaji mwenye rasilimali chache kuwa na uzalishaji…

Read More

Hamilton mzuka tu langalanga | Mwanaspoti

HAIKUWA rahisi dereva Lewis Hamilton kuamini ameshinda mbio za magari duniani baada ya miaka miwili na nusu, tangu mara ya mwisho aliposhinda mwishoni mwa mwaka 2021. Hamilton, bingwa mara Saba wa mbio za magari duniani (formula one) alimaliza ukame wa mbio 56 bila ushindi, akishinda za wikiendi iliyopita Uingereza na akiweka rekodi mpya ya kuwa…

Read More

Vodacom yamwekea pingamizi Kabendera | Mwananchi

Dar es Salaam. Kampuni ya huduma za mawasiliano kwa simu za mkononi ya Vodacom Tanzania Plc imewasilisha utetezi katika kesi ya madai ya Dola za Marekani 10 milioni (takribani Sh28 bilioni) zinazodaiwa na mwanahabari Erick Kabendera. Katika kesi hiyo inayosikilizwa na Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam, Kabendera anaituhumu kampuni hiyo ya Vodacom kuwa…

Read More

Kikapu Mara wiki ijayo | Mwanaspoti

UZINDUZI wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Mara umeshindwa kufanyika katika Uwanja wa Matumaini ili kupisha sherehe za makanisa zilizofanyika. Katibu mkuu wa Chama cha Mpira wa Kikapu mkoani humo,  Koffison Pius alisema baada ya kutofanyika uzinduzi huo  umesogezwa mbele hadi Julai 14. “Tunaheshimu sherehe za kanisa. Tuliamua kuzipisha kutokana na uwanja huo kuwa ni…

Read More

Mchungaji Msigwa alivyopokewa na makada wa CCM Iringa

Iringa. Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Iringa mjini kimempokea aliyekuwa Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa, aliyejiunga na chama hicho hivi karibuni huku wakiahidi kumpa ushirikiano. Chama hicho kimeahidi kumpa ushirikiano wa kutosha katika kutekeleza majukumu mbalimbali ndani ya chama hicho kama mwanachama mpya. Akizungumza…

Read More