Takukuru yawapa neno vijana, kina mama kurubuniwa na wagombea

Dar es Salaam. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imewataka vijana na kina mama kushiriki katika kudhibiti na kupambana na rushwa kwa kutoa taarifa pindi wagombea wanapowashawishi wawachaguliwe kwa kutoa rushwa. Akizungumzia leo Jumanne, Julai 9,2024 kuhusu udhibiti wa vitendo vya rushwa kwenye uchaguzi katika Kipindi cha Elimu Jamii cha Redio Maria kutoka…

Read More

Dk. Slaa atamani kumchapa mboko Samia

MWANASIASA mkongwe nchini Dk. Wilbroad Slaa amesema angekuwa na uwezo angemchapa fimbo Rais Samia Suluhu Hassan kwa sababu wakati nchi nzima ikiwa imetapaa ya mabango yenye ujumbe ‘mama anaupiga’, kuna wanafunzi wamepangiwa kwenda shule shikizi Monduli ambayo haijapauliwa. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea) Shule hizo shikizi za sekondari ambazo ni maalumu kwa wanafunzi wa kike…

Read More

Hemed: Wazanzibari badilisheni mitazamo kazi za hotelini

Unguja. Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar, Hemed Suleiman Abdalla, amesema licha ya kuwapo malalamiko kuwa kazi za hoteli kisiwani humo zinatolewa kwa wageni, changamoto ipo kwa wazawa kutothamini kazi hiyo, hivyo kuwataka wabadilishe mitazamo yao. Amesema kazi za hoteli na sekta ya utalii zinahitaji kujituma, hivyo wanaopata bahati kuajiriwa, wazingatie utoaji wa huduma bora….

Read More

Vodacom yakanusha vikali madai ya utekaji, Kabendera

  Leo, katika kusikilizwa kwa kesi ya mwandishi wa habari Eric Kabendera katika Mahakama Kuu ya Tanzania, ambapo amewasilisha kesi ya fidia ya dola milioni 10 dhidi ya Vodacom, kampuni hiyo imekanusha vikali madai hayo. Akizungumza na vyombo vya habari, Mtaalamu Mwandamizi wa Sheria kutoka Vodacom, Joseph Tungaraza alisema, “Tunakanusha vikali madai ya mlalamikaji. Tunatoa…

Read More

Kigamboni waanza kuunganishwa huduma ya maji

Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam DAWASA Mhandisi Mkama Bwire amesema kuwa Mamlaka imeanza utekelezaji wa agizo la Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso la kufanya maunganisho ya majisafi kwa wananchi wa maeneo ya Kigamboni kwa kutoa vifaa vya maunganisho ya majisafi. Amesema hayo wakati wa…

Read More

Yepi matarajio kwa rais mpya wa Iran – DW – 09.07.2024

Raia wa Irani walimchagua Jumamosi, Masoud Pezeshkian, mgombea mwenye msimamo wa wastani kuwa rais wao ajaye katika kura ya marudio iliyomshindanisha na Saeed Jalili, mhafidhina mwenye msimamo mkali na msuluhishi wa zamani wa nyuklia anaepinga vikali mataifa ya Magharibi. Pezeshkian, daktari wa upasuaji wa moyo,amekuwa mbunge wa Bunge la Iran tangu 2008. Alihudumu kama waziri…

Read More