CCM Iringa wampokea Msingwa rasmi

Iringa. Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Iringa mjini kimempokea aliyekuwa Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa, aliyejiunga na chama hicho hivi karibuni huku wakiahidi kumpa ushirikiano. Chama hicho kimeahidi kumpa ushirikiano wa kutosha katika kutekeleza majukumu mbalimbali ndani ya chama hicho kama mwanachama mpya. Akizungumza…

Read More

Mashambulizi ya Ukraine yaua wanne Russia

Moscow, Urusi. Mashambulizi ya Ukraine kwenye eneo la mpaka wa Urusi la Belgorod yamewaua watu wanne ndani ya saa 24 zilizopita.  Vyacheslav Gladkov ambaye ni Gavana wa eneo hilo amethibitisha leo Jumanne, Julai 9, 2024. Aidha, akinukuliwa na AFP, Meya wa Belgorod, mji mkuu wa eneo hilo, Valentin Demidov amesema hapo awali vikosi vya Ukraine…

Read More

Urusi yashambulia droni za Ukraine kwenye maeneo ya mipaka – DW – 09.07.2024

09.07.20249 Julai 2024 Wizara ya ulinzi ya Urusi imesema mifumo yake ya ulinzi wa anga imeharibu droni 38 za Ukraine usiku wa kuamkia leo katika maeneo ya mpakani ikiwemo Belgorod,Kursk,Voronezh,Rostov na Astrakhan. https://p.dw.com/p/4i3Qu Zana za kivita za Ukraine zikiwa katika eneo la DonetskPicha: Narciso Contreras/Anadolu/picture alliance Gavana wa jimbo la Astrakhan Igor Babushkin amesema Ukraine…

Read More

Umri wamnusuru na kifungo cha maisha jela

Arusha. Mahakama ya rufani imetengua hukumu ya kifungo cha maisha jela, aliyohukumiwa Emanuel Samwel, baada ya kukutwa na hatia katika makosa ya ulawiti na ubakaji. Hiyo ni baada ya kubaini kwamba Mahakama ilikosea kumtia hatiani kijana huyo pasipo kuthibitisha kwamba alikuwa mtu mzima. Kutokana na usikilizwaji wa awali wa kesi hiyo kutokuelezwa endapo mrufani alikuwa…

Read More

Aliyekuja Tanzania kutafuta ajira aambulia mwaka mmoja jela

Dar es Salaam. Raia wa Burundi, Gervas Ndayitwayeko (26), amehukumiwa kulipa faini ya Sh500,000 au katumikia kifungo cha mwaka mmoja jela, baada ya kupatikana na hatia ya kuishi nchini Tanzania bila kuwa na kibali. Ndayitwayeko, amehukumiwa adhabu hiyo leo Jumatatu  Julai 8, 2024 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, baada ya kukiri shtaka lake na…

Read More

Viongozi wawili waacha pigo Chadema, watimkia CCM

Tabora. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimepata pigo baada ya makada wake wawili akiwemo katibu wa chama hicho Wilaya ya Tabora Mjini, Maxmilliani Jerome kutimkia Chama cha Mapinduzi (CCM). Katibu huyo wa Chadema amekikacha chama hicho cha upinzani nchini Tanzania kwenda chama tawala ikiwa ni wiki moja tangu aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya…

Read More