Kagame Cup yaanza kinyonge Dar

PAZIA la mashindano ya klabu bingwa Afrika Mashariki na Kati (Kombe la Kagame) 2024 linafunguliwa leo ikiwa ni mara ya kwanza katika historia kwa mashindano hayo kufanyika Tanzania bila uwepo wa Simba na Yanga. Tangu mashindano hayo yalipoanza mwaka 1967 yamefanyika Tanzania mara 19 na kati ya hizo, hakuna awamu ambayo Simba na Yanga zilikosekana…

Read More

Aziz Ki, Yanga bado pazito, Hersi afunguka

Rais wa Yanga, Hersi Said amesema kuwa kiungo nyota wa timu hiyo, Stephane Aziz Ki bado hajasaini mkataba mpya wa kuitumikia timu hiyo ingawa wapo katika nafasi nzuri ya kumbakisha. Akizungumza nchini Afrika Kusini leo Julai 8, 2024, Hersi amesema kuwa klabu inapambana kwa juhudi kubwa kumshawishi mchezaji huyo abakie na yeye mwenyewe anaonyesha dalili…

Read More

MAANDALIZI YA MKUTANO WA 26 WA KAMATI YA MAWAZIRI WA ASASI YA SIASA, ULINZI NA USALAMA YA SADC YAANZA JIJINI LUSAKA

Mbali na Balozi Shelukindo, viongozi wengine kutoka Tanzania wanaoshiriki Mkutano wa Makatibu Wakuu ni pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Faraji Mnyepe, Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Jenerali Jacob Mkunda, Balozi wa Tanzania nchini Zambia, Mhe. Lt. Jen. Mathew Mkingule, Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na…

Read More

Mjumbe wa Umoja wa Mataifa aangazia ghasia za kutisha na janga la kibinadamu lililopuuzwa nchini DR Congo – Masuala ya Ulimwenguni

Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu, Bintou Keita, aliwafahamisha Baraza la Usalama ya shambulio dhidi ya makazi ya mwanasiasa wa Kongo, ambapo maafisa wawili wa polisi waliuawa. Upanuzi wa haraka wa M23 Bi. Keita, ambaye pia anaongoza ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo (MONUSCO), alionyesha wasiwasi mkubwa juu ya ukuaji wa haraka…

Read More

Waziri Ndejembi akoshwa na Utendaji wa OSHA

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi, ameeleza kuridhishwa na utendaji wa Mamlaka ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) ambao umeimarika kutokana na matumizi ya mifumo ya TEHAMA ambayo imeboresha na kurahisisha upatikanaji wa huduma za usalama na afya nchini….

Read More