CHAGUENI VIONGOZI WATAKAOSHIRIKIANA NA MHE. RAIS KUTATUA KERO – MHE. KATIMBA 

Na. James K. Mwanamyoto OR-TAMISEMI Naibu Waziri, Ofisi ya Rais-TAMISEMI (Elimu) Mhe. Zainab Katimba amewataka wananchi kuchagua viongozi bora katika uchaguzi ujao wa Serikali za Mitaa ambao watamuunga mkono kwa vitendo Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kutatua kero na changamoto zinazowakabili. Mhe. Katimba ametoa wito huo kwa watanzania wote, akiwa wilayani Uvinza, mara…

Read More

Kabendera, Vodacom uso kwa uso mahakamani leo

Dar es Salaam. Mchakato wa usikilizwaji wa kesi inavyohusiana na kukamatwa kwa mwanahabari Erick Kabendera, aliyoifungua mwanahabari huyo dhidi ya kampuni ya huduma za Mawasiliano Kwa simu za mkononi ya Vodacom Tanzania Ltd unaanza leo. Katika kesi hiyo Kabendera anaoimba mahakama hiyo iiamuru kampuni hiyo imlipe fidia ya Dola za Marekani 10 milioni (sawa na…

Read More

Ukisoma vyuo hivi ajira nje nje

Kama kuna majanga yanayolisibu Taifa letu kwa sasa ni pamoja na uhaba mkubwa wa ajira. Idadi kubwa ya wahitimu katika ngazi mbalimbali wanajikuta mitaani, huku ajira rasmi zikitajwa kuwa msamiati mgeni. Kitaifa, takwimu zinaonyesha hadi kufikia 2021, watu waliokuwa kwenye ajira walikuwa milioni 23.5. Hata hivyo, wakati wengi wakikosa ajira, wachache wanaobahatika wanatajwa kukosa weledi…

Read More

MHE. NDEJEMBI APONGEZA MAFANIKIO NSSF

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Deogratius Ndejembi, ametembelea banda la NSSF katika Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (DITF) maarufu kama SabaSaba na  kupongeza kazi nzuri inayofanywa na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) kutokana na kupata mafanikio mbalimbali…

Read More