SANLAM INVESTMENTS EA LIMITED YAZINDUA MIFUKO YA UWEKEZAJI, OFISI TANZANIA

* CMSA yawataka wadau kushirikiana na Serikali katika kuwawezesha wananchi kiuchumi MAMLAKA Ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA,) imewataka wadau wa masoko ya mitaji kuendelea kushirikiana na Serikali katika kuwezesha wananchi kiuchumi na kutekeleza Mpango Kazi wa Serikali wa njia mbadala za kugharamia miradi ya maendeleo. Hii itawezesha Serikali na Sekta Binafsi kupata rasilimali…

Read More

Iran yanadi fursa za uwekezaji maonesho ya Sabasaba

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imewataka wafanyabiashara wa Tanzania kuchangamkia fursa za uwekezaji zilizoko nchini humo ili kukuza kiwango cha biashara baina ya nchi hizo. Akizungumza leo Julai 8,2024 wakati wa maadhimisho ya Siku ya Iran kwenye Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba), Balozi wa Iran nchini Tanzania,…

Read More

CCM waweka mikakati kupata wagombea bora 2024/25

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimewaomba Watanzania waendelee kukiamini kwa kuwa kimeweka mikakati kuhakikisha wanapata wagombea bora wakati wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu wa 2025. Ahadi hiyo imetolewa leo Julai 8,2024 na Katibu Mwenezi CCM Taifa, Amos Makalla, wakati wa mkutano wa hadhara katika Jimbo la Segerea…

Read More

Ndejembi:OSHA na BRELA wekeni mifumo ya kusomana

*Mtendaji Mkuu OSHA abainisha Mipango mikakati ya utoaji huduma kwa wananchi na wawekezaji Na Chalila Kibuda,Michuzi TV Serikali imesema kuwa Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) kushirikiana na Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA)ili mifumo yao isomane waweze kutambua kampuni na wawekezaji ambao wamekuja nchini ili waweze kuwatambua na kuwafikia…

Read More

Wananchi Kipunguni sasa kulipwa fidia mwezi ujao

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba amesema fidia kwa wakazi wa Mtaa wa Kipunguni wanaotakiwa kuhama kupisha upanuzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, zitaanza kulipwa Agosti mwaka huu. Akizungumza leo Julai 8,2024 katika mkutano wa hadhara uliofanyika Jimbo la Segerea katika viwanja vya Shule ya Sekondari…

Read More