Michango yamtoa gerezani aliyechoma picha ya Rais

Mbeya.  Siku nne tangu kijana Shadrack Chaula (24), aliyechoma picha ya Rais kuhukumiwa kulipa faini ya Sh5 milioni au kifungo cha miaka miwili, hatimaye michango ya wananchi imefanikiwa kumtoa katika Gereza la Ruanda Mkoa lililoko mkoani Mbeya. Shadrack aliyekamatwa kwa madai ya kuchoma picha ya Rais Samia Suluhu Hassan na kushtakiwa kwa kosa la kutoa…

Read More

VIWANDA VYOTE NCHINI KUFANYA KAZI

Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt Selemani Jafo amesema atahakikisha viwanda vyote vilivyowekezwa Tanzania anavisimamia ili viendelee kuzalisha na kuchangia uchumi na ajira kwa Watanzania. Dkt. Jafo ameyasema hayo Julai 08, 2024 alipotembelea Kiwanda cha Mbolea cha Itracom Fertilize Limited kilichopo Dodoma ikiwa ni baada ya kuingia ofisini kwake. Alisema jitihada za Serikali ya Rais…

Read More

Wadau watahadharisha njaa Afrika Mashariki

Dar es Salaam. Nchi  za Afrika Mashariki zimetahadharishwa kufanya juhudi za kukabiliana na changamoto ya upungufu wa mvua, unaosababishwa na mabadiliko ya tabia nchi, ili zisiingie kwenye baa la njaa. Wadau sekta ya nishati safi wamesema kupungua kwa mvua, kunakosababishwa na mabadiliko ya tabia nchi juhudi za haraka zisipo chukuliwa nchi za Afrika Mashariki zaweza…

Read More

Wataalamu wapendekeza udhibiti bidhaa za mafuta Tanzania

Dar es Salaam. Wataalamu wa afya nchini Tanzania wamependekeza udhibiti wa uingizwaji wa mafuta na bidhaa zake, kama mbinu ya kuepuka magojwa yasiyo ya kuambukiza kwa wananchi. Mafuta waliyopendekeza yadhibitiwe ni yale yasiyoandaliwa vizuri na yenye hatari kubwa kwa matumizi ya binadamu. Sambamba na hilo, wataalamu hao wamesema kama inawezekana itafutwe namna ya kuongezwa kodi…

Read More

TAA yatangaza fursa kwenye viwanja vya ndege

MAMLAKA ya Viwanja vya Ndege Nchini (TAA) imewataka Watanzania kuchangamkia fursa za kibiashara na uwekezaji zilizopo katika viwanja vya ndege nchini ikiwemo maboresho na uendelezaji unaoendelea katika viwanja vya ndege. Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa Fedha wa TAA, Shadrack Chilongani, aliyemwakilisha Mkurugenzi Mkuu wa TAA ambapo amesema kuwa wameshiriki Maonesho ya 48 ya Biashara…

Read More

Taa za barabarani zazalishwa nchini Tanzania

Dar es Salaam. Ununuzi wa taa za barabarani kutokana nje ya nchi huenda ukakoma, baada ya wataalamu nchini Tanzania kutengeneza taa za sola na umeme zenye uwezo wa kudumu miaka 100. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumatatu Julai 8, 2024 katika Maonyesho ya 48 ya Kimataifa ya Biashara (Sabasaba), Salome Lwanteze, mhandisi katika Kiwanda cha…

Read More

TET YAINGIA MAKUBALIANO NA SHIRIKA LA EDUCATE KUTOA MAFUNZO KWA WALIMU WA MASOMO YA BIASHARA

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV TAASISI ya Elimu Tanzania (TET) imeingia makubaliano ya Ushirikiano na Shirika lisilo la Kiserikali la ‘Educate’, katika kuimarisha utoaji wa mafunzo endelevu kwa walimu mashuleni hasa katika somo la biashara na kuwawezesha kufundisha somo hilo kwa kutumia mbinu za kisasa na kuwa na maarifa yanayoendana na wakati katika ufundishaji. Akizungumza…

Read More

Safari ya milima, mabonde Padri Louis akitimiza miaka 105

Moshi. Wakati Padri Luois Shayo wa Jimbo Katoliki la Moshi, mwafrika wa kwanza kuwa Paroko wa jimbo akitimiza miaka 105 ya kuzaliwa, amesema kuishi kwake ni siri ambayo Mungu ameificha katika maisha yake. Anasema amevuka milima na mabonde katika safari yake ya utume, lakini bado ana afya njema, jambo analomshukuru Mungu. Padri huyo ambaye pia…

Read More

Rais Macron akataa Waziri Mkuu wake kujiuzulu

Ufaransa. Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron amekataa ombi la Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Gabriel Attal la kujiuzulu kutokana na matokeo mabaya ya chama chao bungeni. Attal amewasilisha ombi lake la kujiuzuru baada ya matokeo ya duru ya pili ya uchaguzi wa wabunge nchini humo ambapo chama chake ambacho pia ni cha Rais Macron kimeshindwa…

Read More

Baada ya miezi tisa ya vita huko Gaza, shule nyingine ya Umoja wa Mataifa inakabiliwa na mashambulizi ya anga ya Israeli – Global Issues

“Siku nyingine. Mwezi mwingine. Shule nyingine imegonga,” sema Philippe Lazzarini, mkuu wa UNRWA, shirika kubwa la misaada huko Gaza, katika chapisho kwenye X, zamani Twitter, baada ya shule huko Nuseirat, katikati mwa Gaza, “kupigwa na Vikosi vya Israeli” siku ya Jumamosi. Ilikuwa nyumbani kwa karibu watu 2,000 waliohamishwa kwa nguvu na uhasama UNRWA Kamishna Jenerali…

Read More