Majaliwa amkalia kooni DED mstaafu

Iringa. Huenda maisha ya ustaafu ya aliyekuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo, Lain Kamendu yakaanza kwa msukosuko, baada ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kuagiza arudishwe kujibu tuhuma za ubadhirifu. Kamendu aliyestaafu utumishi wa umma, Juni 22, mwaka huu, anatuhumiwa kufanya ubadhirifu wa fedha za ujenzi wa Bwalo la Shule ya Sekondari ya Wasichana…

Read More

Ubovu wa barabara wakera wananchi, wachangishana kuanza ujenzi

Moshi. Changamoto ya ubovu wa miundombinu ya barabara katika eneo la Kiruweni, Kata ya Mwika Kusini, Wilaya ya Moshi, imewalazimu wananchi wa eneo hilo waishio maeneo mbalimbali nchini kuchangishana fedha na kuanza ujenzi wa barabara zenye urefu wa kilomita 72 kwa kiwango cha changarawe. Eneo hilo ambalo wananchi wake wanajishughulisha na uzalishaji wa ndizi na…

Read More

MCL, ATOGS waandaa kongamano la nishati safi

Dar es Salaam. Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), kwa kushirikiana na Umoja wa Watoa Huduma za Mafuta na Gesi Tanzania (ATOGS), wameandaa kongamano la nishati safi, lijulikanalo kama “Energy Connect 2024”. Kongamano hilo litafanyika Agosti 21, 2024 jijini Dar es Salaam, likiwa na lengo la kuongeza matumizi ya nishati rafiki kwa mazingira. Kongamano hili…

Read More

Akosa faini ya Sh500,000, aenda jela

Dar es Salaam. Raia wa Burundi, Gervas Ndayitwayeko (26), amehukumiwa kulipa faini ya Sh500,000 au katumikia kifungo cha mwaka mmoja jela, baada ya kupatikana na hatia ya kuishi nchini Tanzania bila kuwa na kibali. Ndayitwayeko, amehukumiwa adhabu hiyo leo Jumatatu  Julai 8, 2024 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, baada ya kukiri shtaka lake na…

Read More

UWANJA WA NDEGE WA IRINGA UANZE KAZI AGOSTI MOSI – MAJALIWA

    WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa siku 23 kwa Wizara za Ujenzi, Uchukuzi, taasisi zinazosimamia sekta ya anga na uongozi wa mkoa wa Iringa kutatua vikwazo vilivyopo ili uwanja wa ndege wa Iringa uanze kutumika ifikapo Agosti mosi, mwaka huu.    Ametoa agizo hilo leo (Julai 8, 2024) wakati akizungumza na viongozi na wananchi mbalimbali waliokuwepo…

Read More

DAWASA yatekeleza agizo la waziri ndani ya siku 3

KAIMU Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA), Mhandisi Mkama Bwire amesema mamlaka hiyo imeanza utekelezaji wa agizo la Waziri wa Maji, Jumaa Aweso la kufanya maunganisho ya majisafi kwa wananchi wa maeneo ya Kigamboni kwa kutoa vifaa vya maunganisho ya majisafi. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Amesema…

Read More

TABORA JITOKEZENI KWA WINGI WAKATI WA UBORESHAJI WA DAFTARI

 Mwenyekiti wa Tume, Mhe. Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegele akizungumza wakati wa ufunguzi wa mkutano wa wadau wa uchaguzi uliofanyika leo Julai 8,2024 mkoani Tabarea. Washiriki wakifuatilia hotuba ya ufunguzi wa mkutano huo. Washiriki wakifuatilia hotuba ya ufunguzi wa mkutano huo. Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Bw. Kailima, R. K akiwasilisha…

Read More