Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: July 2024

  • Home
  • 2024
  • July
  • Page 22
Habari

Takukuru kuchunguza upotevu vifaa vya ujenzi Hospitali Katoro

July 30, 2024 Admin

Geita. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Geita imeanza uchunguzi wa ujenzi wa awamu ya pili wa Hospitali ya Katoro baada

Read More
Michezo

Makambo Jr aanza kukiwasha Ujerumani

July 30, 2024 Admin

BAADA ya straika Mtanzania Athuman Masumbuko ‘Makambo’ kutambulishwa FCA Darmstadt ya Ujerumani juzi, amecheza mchezo wake wa kwanza wa ligi akiitumikia kwa dakika 20 dhidi

Read More
Habari

Ujenzi bandari ya Uvuvi Kilwa wafikia asilimia 63%, kukamilika Februari 2025

July 30, 2024 Admin

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega amesema ameridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa Bandari ya Uvuvi ya Kilwa Masoko ambao mpaka sasa umefikia

Read More
Habari

China yanadi fursa za uhandisi kwa wanafunzi Baobab

July 30, 2024 Admin

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Kampuni ya Ujenzi na Mawasiliano ya China (CCCC) imewahamasisha wanafunzi wa Shule ya Sekondari Babobab iliyopo Bagamoyo mkoani Pwani kusoma

Read More
Habari

Takribani nyumba 2,750 zimechomwa moto DRC – DW – 30.07.2024

July 30, 2024 Admin

Tukio hilo lilitokea Alfajiri ya Julai 29, na kusababisha watoto kutembeakilomita kadhaa kutafuta maeneo salama kunusuru maisha yao. DW ilifuka katika eneo la tukio umbali 

Read More
Habari

Kampuni ya ujenzi wa barabara Pemba yaonywa

July 30, 2024 Admin

Unguja. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla ameiwashia taa nyekundu Kampuni ye Mecco inayojenga Barabara ya Chake-Wete, kwa kile alichodai kushindwa

Read More
Michezo

Young Mvita imeanza hivyo | Mwanaspoti

July 30, 2024 Admin

TIMU ya Young Mvita imeifunga North Mara kwa pointi 46-35 katika mchezo wa ufunguzi wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Mara  uliofanyika kwenye Uwanja wa

Read More
Habari

VIDEO: Shahidi aeleza jinsi pikipiki yenye GPRS ilivyoporwa

July 30, 2024 Admin

Dar es Salaam. Shahidi wa saba katika kesi ya mauaji ya dereva wa bodaboda inayomkabili mshtakiwa Ibrahim Othman maarufu Boban, ameeleza Mahakama namna mshtakiwa alivyoshindwa

Read More
Michezo

Yanga yafumua kikosi cha Kaizer Chief

July 30, 2024 Admin

BAADA ya Yanga kuichapa mabao 4-0 Kaizer Cheif ya Sauzi, Mabosi wa kikosi hicho wameshtuka na kuanza hesabu kali za usajili, huku kocha akiwataka kuboresha

Read More
Habari

WHI KUTEKELEZA MRADI WA NYUMBA 101 MIKOCHENI REGENT ESTATE JIJINI DAR ES SALAAM

July 30, 2024 Admin

  Watumishi Housing Investments (WHI) inatarajia kutekeleza mradi wa nyumba 101 katika eneo la Mikocheni Regent Estate jijini Dar es-salaam. Ujenzi huo utaanza Mwezi Agosti

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 21 22 23 … 315 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.