Makambo Jr aanza kukiwasha Ujerumani

BAADA ya straika Mtanzania Athuman Masumbuko ‘Makambo’ kutambulishwa FCA Darmstadt ya Ujerumani juzi, amecheza mchezo wake wa kwanza wa ligi akiitumikia kwa dakika 20 dhidi ya FC Germania. Mchezo huo ulipigwa katika Uwanja wa Sportplatz Rödermark-Ober Roden, ambapo timu anayoichezea straika huyo ikiwa ugenini ilipoteza kwa mabao 2-1. Timu anayochezea kinda huyo wa zamani wa…

Read More

China yanadi fursa za uhandisi kwa wanafunzi Baobab

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Kampuni ya Ujenzi na Mawasiliano ya China (CCCC) imewahamasisha wanafunzi wa Shule ya Sekondari Babobab iliyopo Bagamoyo mkoani Pwani kusoma masomo ya sayansi na kujiendeleza katika fani ya uhandisi ambayo ina fursa nyingi kwenye sekta ya ujenzi. Akizungumza Julai 26,2024 baada ya kutembelea shule hiyo, Naibu Mkurugenzi wa Kampuni ya…

Read More

Kampuni ya ujenzi wa barabara Pemba yaonywa

Unguja. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla ameiwashia taa nyekundu Kampuni ye Mecco inayojenga Barabara ya Chake-Wete, kwa kile alichodai kushindwa kutekeleza mradi huo kwa mujibu wa mkataba. Ameonya iwapo kampuni hiyo haitakamilisha mradi huo kama walivyokubaliana kwenye mkataba, itakuwa ndiyo mwisho kupata zabuni za ujenzi kisiwani humo. Hemed ametoa kauli…

Read More

Young Mvita imeanza hivyo | Mwanaspoti

TIMU ya Young Mvita imeifunga North Mara kwa pointi 46-35 katika mchezo wa ufunguzi wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Mara  uliofanyika kwenye Uwanja wa Chuo cha Ualimu Tarime. Katika mchezo huo North Mara iliongoza katika robo ya kwanza kwa pointi 9-2, ilhali Young Mvita iliongoza katika robo zote tatu kwa pointi 15-10, 15-6, 14-10….

Read More

VIDEO: Shahidi aeleza jinsi pikipiki yenye GPRS ilivyoporwa

Dar es Salaam. Shahidi wa saba katika kesi ya mauaji ya dereva wa bodaboda inayomkabili mshtakiwa Ibrahim Othman maarufu Boban, ameeleza Mahakama namna mshtakiwa alivyoshindwa kuondoa GPRS iliyofungwa katika pikipiki aliyoiba na kisha kuitelekeza. Shahidi huyo, F 5818 Sajent Samwel ametoa ushahidi wake jana Julai 29, 2024 katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam,…

Read More

Yanga yafumua kikosi cha Kaizer Chief

BAADA ya Yanga kuichapa mabao 4-0 Kaizer Cheif ya Sauzi, Mabosi wa kikosi hicho wameshtuka na kuanza hesabu kali za usajili, huku kocha akiwataka kuboresha maeneo matatu. Yanga ilicheza na kikosi hicho kilicho chini ya kocha Nasreddine Nabi, ambaye aliwafundisha wana Jangwani hao msimu wa 22/23 na kuwatembezea kipigo huku wakibeba Kombe la Toyota. Awali,…

Read More