JAFO AHIMIZA SEKTA YA VIWANDA KUUNGWA MKONO KUFANIKISHA JITIHADA ZA RAIS KATIKA UWEKEZAJI WA VIWANDA NCHINI

WAZIRI wa Viwanda na Biashara,Dkt. Selemani Jafo,akisisitiza jambo kwa Mkurugenzi wa Kiufundi wa Kiwanda cha Intracom , Mhandisi Victor Ngendazi (aliyeshika Maiki) wakati akikagua maendeleo ya  Kiwanda ya cha Intracom kilichopo Nala jijini Dodoma Jana Julai 8,2024. Na Alex Sonna, DODOMA WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo ameonesha kutofurahishwa na kiwango kidogo cha…

Read More

ADC kufanya maridhiano na Doyo, hatima kujulikana Ijumaa

Dar es Salaam. Hatima ya aliyekuwa mgombea wa nafasi ya uenyekiti wa Chama cha Allience for Democratic Change (ADC), Doyo Hassan Doyo, kujulikana ndani ya siku tano kuanzia sasa, huku njia ya upatanisho ikipewa nafasi kubwa. Hatua hiyo imetangazwa leo Jumatatu Julai 8, 2024 na kamati ya rufaa ya chama hicho ilipozungumza na waandishi wa…

Read More

Mawakili wamkingia kifua Mwabukusi kuenguliwa urais TLS

Dar es Salaam. Siku moja baada ya Wakili Boniface Mwabukusi kuibuka na kulaani kuenguliwa kwake kuwania urais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), mawakili wenzake kadhaa wameibuka kumtetea wakisema hajatendewa haki huku wakitoa wito arejeshwe miongoni mwa wagombea. Wamesisitiza kuwa ni muhimu mawakili wapenda haki kukilinda chama chao kwa kutokubali kushiriki uchaguzi wa TLS utakaofanyika…

Read More

DROO ZA USHINDI WA KASINO, JISAJILI NA USHINDE

KUNA michezo mingi sana ya Kasino, unapojiunga na Meridianbet unakuwa umepiga hatua ya kuukaribia ushindi. Cheza mchezo wa 420 Blaze It kupitia Kasino ya Mtandaoni ushinde kirahisi. Taarifa za Msingi 420 Blaze It ni mchezo wa kasino ya mtandaoni kutoka kwa mtoa huduma 1×2 Gaming na una droo 10. Kila droo ina safu tatu, na…

Read More

Baba mbaroni akidaiwa kumnyonga hadi kufa mtoto wa kambo

Dodoma. Stephen Mabula (44), mkazi wa kijiji cha Mheme, Kata ya Huzi, Tarafa ya Mpwayungu wilayani Chamwino anashikiliwa na Polisi mkoani Dodoma kwa tuhuma za kumnyonga mwanae wa kambo, Godluck Mathias (5). Akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumatatu, Julai 8 2024, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Theopista Mallya amesema tukio hilo limetokea usiku wa…

Read More

ECOWAS yahofia kitisho cha mpasuko – DW – 08.07.2024

Haya yameelezwa kwenye mkutano wa kilele wa jumuiya hiyo ya ECOWAS ulioanza jana Jumapili mjini Abuja, Nigeria.  Rais wa Halmashauri kuu ya ECOWAS Oumar Touray amesema wakati wa ufunguzi wa mkutano huo wa Abuja kwamba ukanda huo unakabiliwa na kitisho cha kugawanyika na kuongezeka kwa mashaka ya kukosekana kwa usalama baada ya mataifa hayo matatu…

Read More