TETESI ZA USAJILI BONGO: Gift kusajiliwa Coastal Union, Masumbuko kuibukia Geita

KATIKA kujenga kikosi bora cha ushindani, uongozi wa Coastal Union upo kwenye hatua za mwisho kunasa saini ya kiungo raia wa Uganda, Gift Abubakar Ali kutoka Proline FC. Kiungo huyo ambaye amewahi kucheza KCCA ya Uganda na Uganda Police, yupo kwenye hatua za mwisho za kusaini mkataba na Coastal.                                          PAMBA Jiji ipo katika hatua za…

Read More

Hospitali ya Rufaa TMK yapokea ambulance mbili

Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Temeke (TRRH) imepokea rasmi magari mawili ya kubeba wagonjwa, ambayo yamezinduliwa na Mhe. Dorothy Kilave, Mbunge wa Jimbo la Temeke. Ujio wa magari haya yanaenda kuboresha huduma za rufaa na za dharura zilizopo hospitalini hapo, na kufanya idadi ya magari ya kubeba wagonjwa kuwa matano. Mganga Mfawidhi wa hospitali hiyo,…

Read More

Jela miaka minne kwa kumjeruhi mama yake mdogo

Geita. Mahakama ya Wilaya ya Chato imemuhukumu kifungo cha miaka minne na kulipa faini ya Sh3 milioni, Faida Enock mkazi wa Bwanga, baada ya kumtia hatiani kwa kosa la kumjeruhi Monica Laurent kwa kumkata na kitu chenye ncha kali na kusababisha kuondolewa kwa vidole vyake vinane vya mikono. Hukumu hiyo ilitolewa Julai 5,2024 na Hakimu…

Read More

Simba kuachana na kipa | Mwanaspoti

SIMBA Queens msimu ujao haitaendelea na kipa wa timu hiyo, Zubeda Mgunda baada ya kumaliza mkataba mwishoni mwa msimu huu. Kipa huyo alisajiliwa na Simba mwaka 2018 akidumu kikosini hapo kwa takribani misimu sita na kuiwezesha timu hiyo kuchukua ubingwa wa Ligi Kuu ya Wanawake (WPL) mara nne. Inaelezwa sababu ya kuondolewa kikosini hapo ni…

Read More

Waziri mkuu akuta madudu bwalo la milioni 774

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ambana Mhandisi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo kushindwa kusimamia matumizi ya Fedha ujenzi wa Bwalo shule ya Sekondari ya Wasichana Lugalo ambayo ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa shule hiyo Ashangazwa kutumika kwa fedha yote ya ujenzi wa Bwalo lakini mpaka sasa halijakamilika. Bwalo hilo lilipangiwa sh. milioni 774…

Read More

Hofu makaburi yakigeuzwa ‘gheto’ Mbeya

Mbeya. Hofu imezuka maeneo jirani na makaburi ya Sabasaba jijini Mbeya, baada ya watu wasiojulikana kuyageuza sehemu ya kulala huku wakijifunika nguo nyeupe mithili ya sanda. Kwa mujibu wa wakazi wa maeneo hayo, si ajabu kukuta nazi zimevunjwa, vyungu na wakati mwingine watu kuogeshana hadharani katika njiapanda iliyopo karibu na makaburi hayo. Mwananchi kwa takriban…

Read More

Mahakama ya Tanzania kuendesha kesi ndani ya treni ya SGR

Dar es Salaam. Mtendaji Mkuu wa Mahakama nchini Tanzania, Profesa Elisante Ole Gabriel amesema wamewasilisha mapendekezo kwa Wizara ya Uchukuzi, ili wapatiwe behewa moja katika treni ya kisasa ya SGR kwa ajili ya kuendeshea na kutoa huduma za kimahakama ili kuwafikia wananchi na kurahisisha utoaji wa haki nchini. Profesa Gabriel amesema hayo, leo Jumatatu Julai…

Read More