Yanga uso kwa uso na Nabi Sauzi

YANGA SC itacheza dhidi ya Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini inayonolewa na kocha Nasreddine Nabi Julai 28 mwaka huu. Mchezo huo umepangwa kufanyika kwenye Uwanja wa Toyota uliopo Bloemfontein nchini Afrika Kusini ukiwa ni wa michuano ya kirafiki ya Kombe la Toyota. Taarifa ya Kaizer imethibitisha uwapo wa mechi hiyo ikieleza: “Kaizer Chiefs watakuwa wenyeji…

Read More

Uzinduzi wa wiki ya wazazi kitaifa Katavi

Makamu wa Pili wa Rais, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdullah amemwakilisha Rais wa SMZ, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi katika uzinduzi wa Wiki ya Wazazi Kitaifa leo Julai 8, 2024 katika viwanja vya Shule ya msingi Inyonga, Wilaya ya Mlele Mkoani Katavi. Uzinduzi huo umehudhuriwa na viongozi mbalimbali kutoka Tanzania Bara…

Read More

Rwanda wanashirikiana na waasi M23 dhidi ya DRC

Ripoti ya wataalam wa Umoja wa Mataifa imesema karibia wanajeshi wa Rwanda karibu 3,000 hadi 4,000 wanapigana pamoja na waasi wa M23 nchini DRC. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea) Kwa mujibu wa ripoti hiyo ambayo imeonekana na shirika la habari la AFP, Kigali inaongoza harakati za waasi hao wa M23. Mkoa wa Kivu Kaskazini nchini…

Read More

Lawi aikana Simba “Mimi ni mchezaji wa Coastal”

WAKATI Simba ikitarajiwa kupaa jioni ya leo kuelekea Misri kwa ajili ya kambi ya kujiandaa na msimu mpya wa 2024-2025, beki Lameck Lawi yupo zake Dar es Salaam na kikosi cha Coastal Union akijifua tayari kwa michuano ya Kagame huku mwenyewe akisema yeye ni mchezaji wa Coastal Union. Lawi ambaye alikuwa wa kwanza kutambulishwa ndani…

Read More

ACT-Wazalendo yapinga agizo la Rais Samia kwa wamachinga

Dar es Salaam. Chama cha ACT Wazalendo kimeitaka Serikali kuondoa vikwazo na kusitisha mara moja mipango na operesheni za kuwaondoa wamachinga eneo la Kariakoo, jijini Dar es Salaam na maeneo mengine mijini. Chama hicho kimetoa kauli hiyo kwa maelezo kuwa kina wasiwasi kutokana na madai ya wafanyabishara wa Kariakoo katika mgomo wa hivi karibuni kuwataja…

Read More

Beki Yanga asaini mmoja Simba

BEKI wa kushoto wa Yanga Princess, Wincate Kaari amesaini mkataba wa mwaka mmoja kuitumikia Simba Queens kwa msimu ujao. Kaari anakuwa mchezaji wa tatu kutoka Yanga Princess kujiunga na watani zao, Simba Queens, katika dirisha hili la usajili baada ya awali Precious Christopher na Saiki Atinuke kupewa kandarasi ya kuitumikia timu hiyo. Habari za ndani…

Read More