Analyst; Client Origination Job Vacancies at NMB Bank PLC – 2 Positions – MWANAHARAKATI MZALENDO

NMB Bank PLC NMB Bank Plc., is a commercial bank in Tanzania, the second-largest economy in the East African Community. It is licensed by the Bank of Tanzania Analyst; Client Origination Job Vacancies at NMB Bank PLC (2 Positions ) Analyst; Client Origination (2 Position(s))Job Location :Head OfficeJob Purpose:To evaluate counter-party credit risks associated with Wholesale Banking…

Read More

Wenye migogoro ya bima waitwa Sabasaba kusuluhishwa

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Msuluhishi wa Migogoro ya Bima, Margaret Mngumi amewataka wananchi wenye changamoto za madai ya bima kutembelea Kijiji cha Bima kilichopo katika Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) waweze kutatuliwa. Akizungumza Julai 7,2024 na Waandishi wa habari, amesema ofisi hiyo inalenga kutatua migogoro ya bima kwa njia mbadala yaani…

Read More

Serikali yatangaza ajira mpya 9,483 kada ya afya

Dar es Salaam. Siku mbili baada ya Gazeti  la Mwananchi kuripoti uwepo wa madaktari 3,000, wauguzi 25,000 nchini kukosa ajira, Serikali imetangaza nafasi 9,483 mpya za ajira katika sekta hiyo. Tangazo hilo la nafasi za ajira limetolewa jana Jumapili Julai 7, 2024 na Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya…

Read More

JIWE LA SIKU: Simba na Fei Toto, kama Yanga na Chama

BAADA ya mawindo ya muda mrefu, Yanga imefanikiwa kupata saini ya kiungo Mzambia Clatous Chama kutoka Simba na tayari imemtambulisha. Ilikuwa ndoto ya Wanajangwani kumpata staa huyo na sasa imetimia huku kibano kikigeukia kwa Simba na nyota wa Azam, Feisal Salum maarufu Fei Toto. Kabla ya kutua Yanga, Chama aliumiza sana vichwa vya viongozi wa…

Read More

Wafanyabiashara Simu200 wamfukuza DC Ubungo

Dar es Salaam. Katika mgomo wa wafanyabiashara wadogo maarufu kama wamachinga eneo la Soko la Simu2000, Ubungo jijini Dar es Salaam, wamedai wamekosa imani na Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Hassan Bomboko katika kushughulikia changamoto zao. Hatua hiyo imefikiwa baada ya kile walichoeleza kuwa licha ya kumlalamikia mara kadhaa kuhusu changamoto zao, ameishia kuwaahidi kwenda…

Read More