OSHA, BRELA zatakiwa kusomana

WAKALA wa Usalama na Afya Mahala pa Kazi (OSHA) umeelekezwa kuhakikisha mifumo yake inasomana na Wakala ya Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), ili kuleta tija zaidi katika utekelezaji wa majukumu. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Maelekezo hayo yametolewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira, Vijana na Watu wenye Ulemavu, Deogratius Ndejembi…

Read More

Buswita bado yupo Namungo | Mwanaspoti

KIUNGO mshambuliaji, Pius Buswita amekata mzizi wa fitina kwa kuamini kusaini mkataba wa miaka miwili kuendelea kukipiga Namungo akimaliza uvumi kwamba alikuwa anaachana na timu hiyo ili atue kwingine. Nyota huyo wa zamani wa Yanga, alikuwa akiwaniwa na Dodoma, JKT Tanzania na Mashujaa, lakini akaamua kusalia kwa Wauaji wa Kusini baada ya kuvutiwa na ofa …

Read More

Azam FC haina papara, mambo kimyakimya

AZAM inafanya mambo kimyakimya kwani tayari ilishatangulia kambini jijini Dar es Salaam kujiandaa na msimu mpya kabla ya kesho kwenda Zanzibar kuendeleza kambi hiyo na baadae kupaa hadi Morocco na ikirudi nchini itakuwa na kazi ya kusaka mataji katika michuano ya  msimu wa 2024-2025. Awali Azam ilikuwa iondoke Dar es Salaam leo, lakini ikasogeza mbele…

Read More

Mastaa Simba SC waahidi mazito, Mo avunja makundi

TULIENI. Ndivyo mastaa wa Simba walivyotoa ahadi mbele ya kikao kizito kilichoitishwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi na Rais wa Heshima wa Simba, Mohammed ‘Mo’ Dewji’ kabla ya jioni ya leo kusepa kwenda kambini mji wa Ismailia, Misri kujiandaa na msimu mpya wa mashindano. Simba inaondoka kwenda Misri kuanza safari mpya ya kimageuzi chini…

Read More

Tume ya Ushindani (FCC), imeendelea kutumia fursa ya Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) kwa kutoa elimu kwa Umma

    Tume ya Ushindani (FCC), imeendelea kutumia fursa ya Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) kwa kutoa elimu kwa Umma ambao ndio walaji au watumiaji wa bidhaa na huduma.  Wananchi mbalimbali wameendelea kujitokeza na kutembelea banda la FCC ambapo wamenufaika kwa kupata elimu zaidi inayohusu masuala ya Ushindani, Udhibiti wa Bidhaa Bandia…

Read More