Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: July 2024

  • Home
  • 2024
  • July
  • Page 23
Habari

Mahakama ya katiba yakosoa mageuzi ya uchaguzi Ujerumani – DW – 30.07.2024

July 30, 2024 Admin

Mageuzi hayo yaliyoratibiwa na muungano tawala wa Kansela Olaf Scholz yanalenga kuweka ukomo wa viti katika bunge la Ujerumani la Bundestag kufikia viti 630 kutoka

Read More
Habari

Meya wa Ubungo wa Zamani na Malisa Wasomewa Maelezo ya Awali

July 30, 2024 Admin

Na Karama Kenyunko Michuzi Tv ALIYEKUWA Meya wa Ubungo Dar es Salaam, Boniface Jacob na mwenzake Godlisten Malisa, ambaye ni Afisa Afya Jamii na mkazi

Read More
Habari

BILIONEA MULOKOZI AKABIDHI ZAWADI YA BAJAJI MPYA KWA KIJANA ALIYEWEKA PICHA YAKE KWENYE BAJAJI.

July 30, 2024 Admin

  Na Mwandishi Wetu,Manyara. Bilionea David Mulokozi ambaye pia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Mati Super Brands Limited ametoa zawadi ya Bajaji mpya kwa Dereva

Read More
Habari

WHI KUTEKETEZA MRADI WA NYUMBA 101 MIKOCHENI REGENT ESTATE JIJINI DAR ES SALAAM

July 30, 2024 Admin

Watumishi Housing Investments (WHI) inatarajia kutekeleza mradi wa nyumba 101 katika eneo la Mikocheni Regent Estate jijini Dar es-salaam. Ujenzi huo utaanza Mwezi Agosti 2024

Read More
Habari

ZRA kukusanya mapato ya ndani Sh845 bilioni za Zanzibar

July 30, 2024 Admin

Unguja. Ili kufikia lengo la kukusanya mapato ya ndani ya Sh845 bilioni, Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA) imeweka mikakati maalumu ya kuhakikisha fedha hizo zinapatikana

Read More
Habari

WAZIRI KIJAJI ABAINISHA MIKAKATI YA MAZINGIRA

July 30, 2024 Admin

Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais imesema imejipanga kujenga kituo cha kurejeleza taka za plastiki pamoja na kuhifadhi na kuchambua taka ngumu kwa ajili

Read More
Michezo

Enekia atimkia Mexico | Mwanaspoti

July 30, 2024 Admin

NYOTA wa kimataifa wa Tanzania, Enekia Lunyamila amejiunga na klabu ya Mazaltan inayoshiriki Ligi Kuu ya Wanawake nchini Mexico kwa mkataba wa miaka miwili. Kiraka

Read More
Habari

ACT yataja dawa ya maendeleo na ukombozi wa Zanzibar

July 30, 2024 Admin

Unguja. Chama cha ACT- Wazalendo kimeeleza mambo ambayo yakifanyika, yanaweza kuharakisha maendeleo na ukombozi  visiwani Zanzibar. Mambo hayo ni kuendesha nchi hiyo katika misingi ya

Read More
Michezo

GSM atangaza rasmi kinywaji kipya, Yanga SC apata Shavu la kukitangaza…

July 30, 2024 Admin

Ni July 30, 2024 ambapo GSM Group of Companies leo wanayofuraha ya kupanua wigo wa mahusiano na Klabu ya Yanga ambapo wametangaza rasmi kampuni yao

Read More
Habari

Ole Ngurumwa ashinda rufaa kesi dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali

July 30, 2024 Admin

Arusha. Mwanaharakati Onesmo Ole Ngurumwa, amepata ushindi katika rufaa aliyofungua Mahakama ya Rufani, akipinga kuondolewa mahakamani kesi yake ya kikatiba dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 22 23 24 … 315 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.