Mahakama ya katiba yakosoa mageuzi ya uchaguzi Ujerumani – DW – 30.07.2024

Mageuzi hayo yaliyoratibiwa na muungano tawala wa Kansela Olaf Scholz yanalenga kuweka ukomo wa viti katika bunge la Ujerumani la Bundestag kufikia viti 630 kutoka idadi ya sasa ya viti 736. Bunge hilo la Ujerumani linazingatiwa kuwa ndio bunge kubwa zaidi duniani ambalo limechaguliwa kidemokrasia. Nchini ujerumani, kuna mfumo mgumu wa uchaguziunaozingatia zaidi kutowa nafasi…

Read More

ZRA kukusanya mapato ya ndani Sh845 bilioni za Zanzibar

Unguja. Ili kufikia lengo la kukusanya mapato ya ndani ya Sh845 bilioni, Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA) imeweka mikakati maalumu ya kuhakikisha fedha hizo zinapatikana ikiwamo kuwasajili walipakodi wapya na kutoa elimu kwa wafanyabiashara. Akizungumza katika ufungaji wa mafunzo kwa wafanyakazi wa mamlaka hiyo leo Julai 30, 2024, Kamishna wa Walipakodi Wakubwa ZRA, Shaaban Jaffar…

Read More

WAZIRI KIJAJI ABAINISHA MIKAKATI YA MAZINGIRA

Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais imesema imejipanga kujenga kituo cha kurejeleza taka za plastiki pamoja na kuhifadhi na kuchambua taka ngumu kwa ajili ya kutumika kama malighafi ya viwanda. Kituo hicho kitakachojengwa katika Jiji la Dodoma kitasaidia ukusanyaji wa taka kutoka dampo kwa ajili ya kuchakatwa hatua itakayosaidia kulinda mazingira. Waziri wa Nchi…

Read More

Enekia atimkia Mexico | Mwanaspoti

NYOTA wa kimataifa wa Tanzania, Enekia Lunyamila amejiunga na klabu ya Mazaltan inayoshiriki Ligi Kuu ya Wanawake nchini Mexico kwa mkataba wa miaka miwili. Kiraka huyo msimu uliopita alikuwa akiitumikia Eastern Flames ya Saudia ambayo ilimaliza nafasi ya saba kati ya timu nane zinazoshiriki Ligi ya Wanawake nchini humo. Msimu uliopita Mazaltan ambayo ni timu…

Read More

ACT yataja dawa ya maendeleo na ukombozi wa Zanzibar

Unguja. Chama cha ACT- Wazalendo kimeeleza mambo ambayo yakifanyika, yanaweza kuharakisha maendeleo na ukombozi  visiwani Zanzibar. Mambo hayo ni kuendesha nchi hiyo katika misingi ya kistaarabu, kupata mamlaka kamili na kuwa na Serikali iliyotimiza masharti na matakwa ya wananchi Hayo yamebainishwa na Mwenyekiti wa chama hicho Taifa, Othman Masoud leo Jumanne, Julai 30, 2024 alipokuwa…

Read More

Ole Ngurumwa ashinda rufaa kesi dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali

Arusha. Mwanaharakati Onesmo Ole Ngurumwa, amepata ushindi katika rufaa aliyofungua Mahakama ya Rufani, akipinga kuondolewa mahakamani kesi yake ya kikatiba dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG). Alifungua kesi akipinga vifungu 13 vya Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai (CPA) akidai vinakiuka Katiba. Kesi hiyo iliondolewa Mahakama Kuu ilipotoa uamuzi wa pingamizi lililowasilishwa na…

Read More