Halotel Tanzania kugawa zawadi Kemkem Maonyesho ya SabaSaba

Na Imani Nathaniel, Mtanzania Digital Halotel Tanzania inayo furaha kubwa kutangaza kuwa itaweka kumbukumbu mpya kwenye Maonyesho ya 48 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (SabaSaba) mwaka huu kwa kugawa zawadi kemkem kwa wateja wake. Tukio hili limeanza rasmi Julai 28, ambapo wateja wote waliotembelea banda la Halotel walipata nafasi ya kushinda zawadi…

Read More

RAIS MSTAAFU DKT. KIKWETE ATEMBELEA BANDA LA TIRDO SABASABA

Rais Mstaafu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete akimsikiliza Afisa Masoko wa Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania (TIRDO), Burhan Mdoe ambaye alikuwa akitoa maelezo kuhusu TIRDO mara baada kutembelea banda la TIRDO katika Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa yanayofanyika katika Viwanja vya Mwalimu Nyerere, barabara ya…

Read More

WANAWAKE GOMBEENI SERIKALI ZA MITAA – REGINA NDEGE

Na Mwandishi wetu, Kiteto WANAWAKE Mkoani Manyara wametakiwa kujitokeza kugombea nafasi mbalimbali za uongozi kwenye uchaguzi ujao wa serikali za mitaa. Mbunge wa viti maalum mkoa wa Manyara, (CCM) Regina Ndege ametoa wito huo kata ya Kibaya wilayani Kiteto, wakati akizungumza kwenye kikao cha baraza la umoja wa wanawake (UWT) wa wilaya hiyo. Ndege amesema…

Read More

MAPISHI,BURUDANI NA MIJADALA VYANOGESHA SIKU YA KISWAHILI COMORO

WWatanzania waishio nchini Comoro na wananchi wa Kisiwa cha Ngazija na wanadiplomasia wameshiriki katika maadhimisho ya Siku ya Kiswahili Duniani kwa burudani mbali mbali pamoja na mijadala. Takribaj washiriki 500 wamejitokeza katika Ukumbi wa Bunge la nchi hiyo ambapo nyimbo za kitanzania,mashairi na maigizo vilipamba shughuli hiyo. Aidha,mapishi mbali mbali ya asili ya pwani yalinogesha…

Read More

Makalla atwishwa kero nne Ilala, awataka watendaji kuzitatua

Dar es Salaam. Kero nne za barabara, ardhi, umeme na huduma za afya zimewasilishwa na wananchi wa Chanika wilayani Ilala, mbele ya Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla wakiomba kiongozi huyo kuwasaidia kuzitafutia ufumbuzi. Changamoto hizo zimewasilishwa leo Jumapili Julai 7, 2024 katika mkutano wa hadhara wa Makalla…

Read More