Mbowe akerwa na kodi kwa masikini

Mwanga. Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ameeleza kukerwa na utitiri wa kodi wanazotozwa wananchi bila kuzingatia uhalisia wa vipato vyao, akisema kinachofanyika ni kuwakandamiza zaidi. Kwa mujibu wa Mbowe, kanuni sahihi ya utozaji kodi ni kuhakikisha anayelipa ni yule mwenye kipato cha ziada na sio wananchi wote. Mbowe ameyasema hayo leo, Jumapili Julai 7, 2024…

Read More

Askofu Malasusa: Wakristo wengi wamesahau thamani yao

Mbeya. Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kiluteri Tanzania (KKKT), Dk Alex Malasusa amesema Wakristo wengi hivi sasa wamesahau thamani yao na kuanza kujifananisha na kila mtu. Dk Malasusa ameyasema hayo leo Jumapili Julai 7, 2024 wakati wa kuweka wakfu Kanisa la KKKT Dayosisi ya Konde Usharika wa Foresti Mpya jijini Mbeya, ambalo ujenzi…

Read More

Mollel afunika Lugalo Open kwa Mapro

NUSU Mollel wa Arusha ndiye kinara wa mashindano ya wazi ya gofu ya Lugalo (Lugalo Open) baada ya kupiga mikwaju 147 katika michuano ya siku mbili iliyomalizika kwenye viwanja vya Lugalo jijini mwishoni mwa juma. Mollel aliwashinda wapinzani wake wa karibu Frank Mwinuka na Hassan Kadio kwa mikwaju minne baada ya wachezaji hao wawili kufungana…

Read More

Vifo, kutoweka watumishi sekta ya afya vyaibua hofu

Arusha/Moshi. Nini kimewapata? Ndilo swali linaloumiza vichwa vya wengi baada ya mwili wa muuguzi katika Hospitali ya Wilaya ya Meru kuokotwa Mto Nduruma, huku muuguzi mwingine wa Hospitali ya Rufaa ya KCMC akitoweka. Itakumbukwa mwishoni mwa wiki, mwili wa aliyekuwa mfamasia katika Kituo cha Afya Isansa wilayani Mbozi, Daudi Kwibuja, ulikutwa kando mwa barabara ya…

Read More

Songea United ni Josiah au Mwalwisi!

MAKOCHA Maka Mwalwisi na Aman Josia ni majina pendekezwa katika kikosi cha Songea United (zamani FGA Talents) kwa ajili ya kuiongoza timu hiyo ya Championship msimu ujao. Hii ni baada ya dili la Mbwana Makata kuingiwa ‘mchanga’ kufuatia kusaini Tanzania Prisons na sasa mabosi wa timu hiyo yenye makazi yake mjini Songea kuumiza kichwa kumpata…

Read More

Wingi wa madaktari wasio na ajira rasmi washtua

Dar es Salaam. Wakati kukiwa na changamoto za uhaba wa wataalamu wa afya katika vituo vya kutolea huduma nchini, takwimu zinazoonyesha idadi kubwa ya madaktari wako mtaani zimewashtua wadau. Uhaba huo umekuwa ukisababisha adha kwa wagonjwa, kuwalazimu kusota kwa muda kwenye vituo vya kutolea huduma na wengine wamekuwa wakipoteza maisha kutokana na kadhia hiyo. Hali…

Read More