Caravans T20… Lions, Gymkhana si mchezo HUKo

LIGI ya Kriketi ya mizunguko 20 ya Caravans T20 iliendelea kuwasha moto kwenye viwanja mbalimbali jijini huku timu za Park Mobile Lions na Generics Gymkhana zikipata matokeo mazuri katika michezo yao ya mwishoni mwa juma. Viwanja vya Leaders Club na Dar Gymkhana ndivyo vilikuwa mashuhuda wetu wa  michezo hii ambapo ushindi wa mikimbio 81 vijana…

Read More

Chanongo, Mwamita watua Prisons | Mwanaspoti

WAKATI Tanzania Prisons ikianza kambi yake jijini Dar es Salaam kujiandaa na Ligi Kuu msimu ujao, benchi la ufundi na uongozi wa timu hiyo umeonesha matumaini makubwa kwa usajili walioufanya. Msimu uliopita Prisons haikuwa na mwanzo mzuri wa ligi chini ya aliyekuwa kocha wake, Fredi Felix ‘Minziro’ kabla ya kumtema na kumpa kazi, Ahamd Ally aliyeonesha…

Read More

Katibu tawala aonya uchafu Moro wakisaka ridhaa ya kuwa jiji

Morogoro. Wakati Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Adam Malima akiendelea na harakati za kuhakikisha Manispaa ya Morogoro inakuwa jiji, Katibu Tawala wa mkoa huo, Mussa Ally Musa amesema ili jitihada hizo zifanikiwe lazima usafi ufanyike tofauti na hali ilivyo sasa. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumapili Julai 7, 2024, Katibu tawala huyo amesema wakazi wa…

Read More

Gofu imenoga, Nape aita wadhamini zaidi

WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amewaita wadhamini mbalimbali kudhamini mashindano kwenye mchezo wa gofu ambao umeanza kukua kwa kasi nchini. Nape ameyasema hayo jana katika mashindano ya Lugalo Open Golf Tour yaliyofanyika kwenye viwanja vya Lugalo, jijini Dar es Salaam. Waziri huyo alisema kwa sasa mchezo wa gofu umeanza kujipatia…

Read More

GGML kukusanya Sh2.6 bilioni mapambano dhidi ya VVU

Chato. Licha ya maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU) kuonekana kupungua kwa watu wazima, juhudi za makusudi za kutoa elimu kwa vijana wenye wa miaka kati ya 15-24 zinahitajika ili kuiwezesha nchi kufikia malengo yake ya sifuri tatu yaani maambukizi mapya sifuri, kumaliza unyanyapaa sifuri na vifo sifuri  ifikapo mwaka 2030. Na katika kuunga mkono…

Read More

Vijana kuchangamkieni fursa za uhasibu

 BODI ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) imewahimiza vijana wa kitanzania nchini kuchangamkia fursa za Uhasibu na Ukaguzi kutokana na kuwa na mchango mkubwa katika maendeleo endelevu ya Taasisi, makampuni ili kuleta tija kwenye ukuaji wa uchumi na ujenzi wa Taifa. Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu…

Read More

Mwabukusi kupinga kortini kuenguliwa uchaguzi TLS

Dar es Salaam. Baada ya Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), kumuengua Boniface Mwabukusi katika kinyang’anyiro cha kuwania urais wa chama hicho, wakili huyo ametangaza kusudio la kwenda mahakamani. Sambamba na hatua hiyo, amewataka wanachama wengine wa TLS kutoshiriki uchaguzi huo, ili kuishinikiza Kamati ya Uchaguzi iwarejeshe wagombea wote iliowaengua. Hata hivyo, Katibu wa Kamati ya…

Read More