TETESI ZA USAJILI BONGO: Straika Mzambia anukia Coastal

KATIKA kuhakikisha inarejea kwa kishindo katika michuano ya CAF, Coastal Union, imeanza mazungumzo na Kabwe Warriors ya Zambia ili kupata saini ya nyota mshambuliaji, Godfrey Binga. Coastal inayoshiriki michuano ya kimataifa ya Kombe la Shirikisho Afrika ikiwa sambamba na Simba zikiiwakilisha Tanzania msimu ujao, inataka kuimarisha kikosi hicho na chaguo la kwanza ni la nyota…

Read More

‘Mgogoro’ waibuka machinga Simu2000, mgomo wanukia

Dar es Salaam. Hofu imezuka kwa wafanyabiashara wadogo maarufu Machinga katika Soko la Simu2000, jijini hapa, baada ya kuwepo mpango wa sehemu ya eneo hilo kukabidhiwa kwa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart). Kwa mujibu wa wafanyabiashara hao, Dart inapewa eneo hilo kwa ajili ya kujenga Karakana ya mabasi yake, mbadala wa ile iliyopo Jangwani…

Read More

Prisons Queens hadi mwakani | Mwanaspoti

KOCHA Mkuu wa Prisons Queens, Laurent Malambi amesema licha ya kutofikia malengo ya kupanda daraja, lakini wanajivunia ushindani walioonesha kwenye ligi ya mabingwa wa Mikoa kwa soka la Wanawake akiahidi msimu ujao. Prisons Queens ilishiriki ligi hiyo iliyofanyika jijini Dodoma ikiwa msimu wao wa kwanza, ambapo walimaliza nafasi ya tatu, huku Maendeleo Queens (Songwe) na…

Read More

Vijiji ndani ya Ruaha vyabakia vitano kutoka 27

Iringa/Mbarali. Tangazo la Serikali (GN) namba 175, limepunguza idadi ya vijiji vilivyokuwa ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Ruaha kutoka 27 na hadi vitano, ambavyo mbali na kuwa ndani ya hifadhi, wananchi wanaendelea na maisha kama kawaida. Wananchi katika vijiji hivyo vitano vya Madundasi, Msanga, Luhanga, Iyala na Kilambo wanaendelea na maisha yao wakijishughulisha na…

Read More

Lugha ya Kiswahili kuuzwa nje ya nchi

Dar es Salaam. Wakati lugha ya Kiswahili ikizidi kuchanja mbuga kwa kutambulika na kutumiwa na watu wengi ulimwenguni, lugha hiyo inafanywa bidhaa ili kuwanufaisha Watanzania. Hatua hiyo inakuja ikiwa kuna watumiaji zaidi ya milioni 500 duniani kote wanaotumia lugha hiyo adhimu.  Hayo, yameelezwa leo Julai 7, 2024 na Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk…

Read More

Wahamiaji wengine wanaswa mashambani Arusha

Arusha. Wakati wimbi la wahamiaji haramu likiendelea kutikisa, wengine watatu raia wa Ethiopia walioingia nchini kwa njia za panya wamekamatwa wakiwa wamejificha kwenye mashamba ya mahindi mkoani hapa. Idadi hiyo inafikisha jumla ya wahamiaji haramu waliokamatwa na Idara ya Uhamiaji Mkoa wa Arusha kufikia 31 baada ya  juzi kukamatwa wengine 28. Wahamiaji hao walikamatwa usiku…

Read More