Kagawa, Lukindo haoo KenGold | Mwanaspoti

BAADA ya kumaliza sehemu ya benchi la ufundi, KenGold imeanza kusuka kikosi chake kwa ajili ya Ligi Kuu msimu ujao kwa kunasa saini ya nyota wanne akiwamo Ally Ramadhan ‘Kagawa’. Timu hiyo bado haijaanza mazoezi baada ya kukwama wiki iliyopita kwa madai ya sababu zilizo nje ya uwezo wao na inatarajia kuingia kambini wiki hii…

Read More

Mkulima asimulia wafugaji walivyomlazimisha aache ng’ombe wale mpunga

Kilosa. Mkulima wa kijiji cha Mabwegele, Hamisi Waziri aliyeshambuliwa na wafugaji akivuna mpunga shambani kwake, amesema sababu ya shambulizi hilo ni kuwazuia kuwalisha ng’ombe mpunga aliouvuna. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumapili Julai 7,2024  baada ya kuruhusiwa kutoka Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro ambako alikuwa akitibiwa majeraha aliyoyapata kwenye shambulio hilo, amesema kuwa…

Read More

SIO ZENGWE: Kwani kuna ulazima msajili mapro wa kigeni 12?

MWAKA  huu tumeshuhudia klabu nne za Tanzania zikitakiwa kuwalipa wachezaji fedha ama kukumbana na adhabu ya kuzuiwa kusajili msimu huu baada ya wachezaji kushinda kesi zao za madai walizozipeleka Shirikisho la Kimataifa la Soka (Fifa). Kati ya klabu hizo nne, Yanga pekee ililazimika kulipa zaidi ya Sh800 milioni baada ya wachezaji wawili iliowaacha kuwasilisha madai…

Read More

Waziri mkuu ashiriki Marathon Iringa

Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa leo ameshiriki mbio za Great Ruaha Marathon zilizofanyika ndani ya hifadhi ya Taifa ya Ruaha Ambapo lengo la kufanya mbio hizo ni kukuza utalii wa kusini na kutoa hamasa kwa jamii katika kuhifadhi mazingira Akitoa hotuba kwa washiriki wa Mbio za Great Ruaha Marathon katika…

Read More

CCM yabariki vigogo Dawasa kuwekwa kando

Dar es Salaam. Chama cha Mapinduzi (CCM), kimeubariki uamuzi wa Waziri wa Maji, Jumaa Aweso wa kuwasimamisha kazi vigogo wawili wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (Dawasa). Kimesema Waziri Aweso asingechukua uamuzi huo, chama hicho kingechonganishwa na wananchi kuhusu hali ya upatikanaji wa maji katika maeneo mbalimbali ya Mkoa…

Read More

Valentin Nouma atambulishwa rasmi Simba SC

KLABU ya Simba imemtambulisha beki wa kushoto mpya raia wa Burkina Faso, Valentin Nouma akitokea timu ya St. Eloi Lupopo ya DR Congo kwa mkataba wa miaka mitatu. Nouma mwenye umri wa miaka 24 anakwenda kuiongezea Simba nguvu upande wa kushoto akisaidiana na Mohamed Hussein ‘Tshabalala’ ambapo msimu uliopita alikuwa pekee katika nafasi hiyo, japo…

Read More

Kiwanda Cha sukari Mkulazi chaanza rasmi uzalishaji sukari

Kiwanda Cha Sukari Mkulazi kilichopo wilaya ya Kilosa Mkoani Morogoro kimeanza rasmi uzalishaji wa sukari julai Mosi mwaka huu baada ya mwaka Jana kuwa katika majaribio. Akizungunza wakati wa ziara ya Kamati ya Usalama Wilaya ya Kilosa iliyoongozwa na mwenyekiti wa kamati hiyo ambaye ndio Mkuu wa Wilaya Mhe. Shaka Hamdu Shaka ,Meneja wa Kiwanda…

Read More