
Kagawa, Lukindo haoo KenGold | Mwanaspoti
BAADA ya kumaliza sehemu ya benchi la ufundi, KenGold imeanza kusuka kikosi chake kwa ajili ya Ligi Kuu msimu ujao kwa kunasa saini ya nyota wanne akiwamo Ally Ramadhan ‘Kagawa’. Timu hiyo bado haijaanza mazoezi baada ya kukwama wiki iliyopita kwa madai ya sababu zilizo nje ya uwezo wao na inatarajia kuingia kambini wiki hii…