DMI KUSAJILI WANAFUNZI BURE PASIPO MALIPO

Chuo Cha Bahari Dar ES Salaam (DMI) kinaendelea na huduma ya usajili wa wanafunzi katika viwanja vya Sabasaba Dar es Salaam bila malipo. DMI ni moja ya taasisi zilizopo katika maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea katika viwanja vya Sabasaba jijini Dar es Salaam. Timu ya wataalam kutoka chuo Cha Bahari Dar es…

Read More

Moto wateketeza vyumba 11 vya wapangaji Ngarenairobi Siha

Siha. Nyumba yenye vyumba 11 vya wapangaji katika Kijiji cha Ngarenairobi, Wilaya ya Siha, mkoani Kilimanjaro iliyojengwa kwa mbao, imeteketea kwa moto na kusababisha hasara. Tukio hilo lilitokea Jana Jumamosi Julai 6, 2024 usiku, chanzo kinadaiwa ni jiko la gesi lililolipuka kwenye moja ya vyumba vya wapangaji. Mtendaji wa Kijiji hicho, Seif Mwemgamba, akizungumza na…

Read More

DC Mtwara atembelea Visima vya Gesi Asilia Nanguruwe

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Mkuu wa Wilaya ya Mtwara,  Mwanahamisi Munkunda, amefanya ziara ya kutembelea visima vya gesi asilia katika kata ya Nanguruwe ambapo alitembelea kisima cha Ntorya-1 na Ntorya-2 ili kujionea maendeleo ya visima hivyo. Meneja Mradi, Patrick Kabwe, alieleza kuwa licha ya maendeleo yaliyofanyika katika visima hivyo viwili, TPDC na kampuni ya…

Read More

Waziri Makamba awaasa Marekani kuliishi Azimio la Uhuru

Katika kusherehekea maadhimisho ya miaka 248 ya Uhuru wa Marekani, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. January Makamba (Mb.), ameishukuru na kuipongeza Marekani kwa mchango wake katika maendeleo ya Tanzania huku akiwasihi kukumbuka na kuenzi yale waliyoazimia Julai 4, 1776. Waziri Makamba amezungumza hayo akihutubia katika hafla hiyo iliyofanyika katika…

Read More