
TPDC kuanza uzalishaji wa Gesi Asilia katika Visima vya Ntorya 1 na 2, Mtwara
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kwa kushirikiana na kampuni ya mafuta ya ARA lipo mbioni kuanza uzalishaji wa gesi asilia katika visima vya Ntorya 1 na Ntorya 2 vilivyopo mkoani Mtwara, kata ya Nanguruwe katika kijiji cha Namayhakata Shuleni. Hatua hii ni zao la juhudi za TPDC katika…