
OASISI SWIMIMING CLUB VILLAGE YAZINDULIWA
Wadau wa michezo wametakiwa kuwekeza kwa wingi katika sekta ya hiyo ambayo kwa sasa imekuwa chanzo cha ajira, furaha na kwa vijana wengi wa kitanzania . Agizo hilo amelitoa leo Julai 6, 2024 Dar es salaam na Msajili wa vyama vya michezo kutoka katika baraza la michezo Tanzania Evord Kyando katika uzinduzi wa klabu ya…