Hii hapa kauli ya kwanza ya Sativa tangu atoke hospitali

Dar es Salaam. Edgar Mwakabela maarufu Sativa anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana kisha kumtesa, kwa mara ya kwanza tangu apatikane Juni 27 ameandika katika ukurasa wake wa X (zamani Twitter). Sativa aliyepatikana Katavi akiwa na majeraha baada ya kutoweka jijini Dar es Salaam leo Julai 7, 2024 ameandika; “Asante bwana kwa uzima huu hakika nimeliona…

Read More

Banda la EACOP lawavutia wengi maonesho ya Sabasaba

Wananchi na wadau mbalimbali wamejitokeza kwa wingi kutembelea  Banda la Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika ya Mashariki (EACOP) kwenye Maonesho yanayoendelea ya 48 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam maraarufu  ‘Sabasaba’ yanayofanyika viwanja vya kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es…

Read More

TIA yajiwekea mpango mkakati wa Kuendeleza vijana wenye Ubunifu

Wanafunzi wakipata maelezo katika Banda la TIA kwenye Maonesho ya 48 Biashara Kimataifa yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam. *Ni pamoja na kuwaunganisha katika soko la ajira kwa kurasimisha kibiashara Na Mwandishi Wetu TAASISI ya Uhasibu Tanzania (TIA) imesema kuwa katika vijana wanaosoma katika Taasisi hiyo wakawa na ubunifu watasimamiwa…

Read More

Makambo kutua Tabora United, Lyanga atajwa KenGold

NYOTA wa zamani wa Yanga aliyekuwa akikipiga Al Murooj ya Libya, Heritier Makambo anatajwa kuanza mazungumzo na Tabora United ili ajiunge na timu hiyo iliyonusurika kushuka daraja msimu uliopita. Inadaiwa kuwa mazungumzo ya pande hizo mbili yanaendelea vyema na huenda akatua nchini. WINGA wa zamani wa Azam FC, Ayoub Lyanga anatajwa kuwindwa na KenGold baada…

Read More

WAZIRI NAPE AFUNGUA RASMI MASHINDANO YA VODACOM LUGALO OPEN 2024

  Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia Nape Nnauye akizungumza na Wanahabari machache Leo Julai 06,2024 Viwanja vya Klabu ya Lugalo gofu Jijini Dar es Salaam wakati wa kufungua Mashindano ya Vodacom Lugalo Open 2024. Mkurugenzi wa Wateja wakubwa Kutoka Kampuni ya Vodacom  Nguvu Kamando akiongea machache namna Kampuni hiyo ilivyojidhatiti kudhamini mchezo wa gofu….

Read More