Dili la Madeleke, Pamba limetiki

KLABU ya Pamba Jiji imekamilisha uhamisho wa aliyekuwa beki wa kulia wa Mashujaa, Samson Madeleke kwa mkataba wa mwaka mmoja. Taarifa kutoka ndani ya kikosi hicho zimeliambia Mwanaspoti kuwa Madeleke amekamilisha uhamisho baada ya kutofikia makubaliano ya kuongeza mkataba mpya na Mashujaa kufuatia ule wa miezi sita aliousaini kuisha msimu uliopita. “Ni kweli nyota huyo…

Read More

WAZIRI MAKAMBA AONGOZA KIKAO CHA MAWAZIRI 15 WA EAC

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. January Makamba (Mb) akiongoza Mkutano wa faragha wa Mawaziri wa Mambo ya Nje na Mawaziri wanaoshughulikia masuala ya Afrika Mashariki katika Jumuiya ya Afrika Mashariki unaofanyika Zanzibar. Kushoto ni Mwenyekiti wa Baraza la Mawaziri la EAC Mhe. Deng Alor Kuol wa Sudan Kusini na…

Read More

Yanga yashusha beki usiku mnene, Wakongo waleta kauzibe,

SAA chache kabla ya kambi mpya ya Yanga kwa ajili ya msimu ujao wa mashindano kuanza kesho Jumatatu, mabosi wa klabu hiyo wakimpokea beki wa kushoto mpya, Chadrack Boka usiku mnene wa juzi, huku ikikwepa kiunzi kilichowekwa na FC Lupopo aliyokuwa akiichezea msimu uliomalizika hivi karibuni. Beki huyo aliyetua sambamba na meneja wake akiyokea jiji…

Read More

Umoja wa Mataifa waonya kuhusu kuongezeka kwa mvutano kwenye mpaka wa Lebanon na Israel 'Blue Line' – Global Issues

Ongezeko la hivi punde, lililotokea siku ya Alhamisi, “linaongeza hatari ya vita kamili”, Ofisi ya Msemaji wa Katibu Mkuu ilisema katika kumbuka kwa waandishi wa habari. “Kuongezeka kunaweza na lazima kuepukwe. Tunasisitiza kwamba hatari ya hesabu potofu na kusababisha moto wa ghafla na mpana ni ya kweli,” iliongeza, ikisisitiza kuwa suluhisho la kisiasa na kidiplomasia…

Read More

Aliyeitibulia Simba atua | Mwanaspoti

SIMBA inaendelea kutambulisha mastaa ambapo jana ilikuwa ni zamu ya kiungo Mnigeria Augustine Okajepha akiwa mchezaji wa saba mpya, saa chache baada ya kuliweka hadharani benchi jipya la ufundi lenye sura mpya tano akiwamo kocha wa makipa aliyewahi kuwatibulia Wekundu katika michuano ya CAF. Kocha huyo anayeshtua ni Wayne Sandilands aliyetua nchini kuwanoa kipa Ayoub…

Read More

Sunzu amuonya Mutale mapema | Mwanaspoti

HAPA wamelamba dume. Ndivyo anavyosema straika wa zamani wa Simba, Felix Sunzu akizungumzia usajili wa kiungo mshambuliaji mpya wa timu hiyo, Joshua Mutale kutoka Zambia, huku akimuonya asimezwe na presha ya mashabiki ambayo itampoteza na kuangusha matumaini ya timu hiyo. Mutale ambaye ni miongoni mwa nyota wapya waliotambulishwa na Simba, akisajiliwa kutoka Power Dynamos ya…

Read More

Makumi ya maelfu ya watu waliokimbia makazi yao huku mapigano yakipamba moto kusini-mashariki mwa Sudan – Masuala ya Ulimwenguni

“Watu wanakabiliwa na hatari nyingi za ulinzi na wameripoti uporaji mkubwa wa nyumba na mali za kibinafsi,” Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Uratibu wa Masuala ya Kibinadamu.OCHA) alisema katika sasisho la flash iliyotolewa Alhamisi marehemu. Washirika wa misaada ya kibinadamu wanaopokea watu waliokimbia makazi yao kutoka jimbo la Sennar kusini mashariki mwa Sudan wanaongeza…

Read More