Brahma: Kuku kivutio maonyesho ya Sabasaba

Dar es Salaam. Tanzania inakadiriwa kuwa na kuku milioni 97.9, kati ya hao wa asili (kienyeji) ni milioni 45.1 na wa kisasa ni milioni 52.8. Kutokana na kuku kuwa miongoni mwa chanzo cha mapato kwa jamii, wafugaji wamekuwa wakiachana na ufugaji wa asili na kufanya wa kisasa. Katika kutekeleza hilo, jitihada zimekuwa zikifanyika kupata vifaranga bora…

Read More

Dk Jafo mguu wa kwanza Kariakoo

Dar es Salaam. Siku moja baada ya kuapishwa kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk Suleiman Jafo ameanza kushughulikia changamoto za wafanyabiashara, akianzia eneo la Kariakoo jijini hapa. Hivi karibu wafanyabiashara katika baadhi ya maeneo nchini waligoma kushinikiza Serikali kutatua madai yao ambayo wanaeleza yalitatiza ustawi wa biashara zao. Miongoni mwa hayo ni ukaguzi wa…

Read More

Wanafunzi wenye ulemavu Kawe waomba kukarabatiwa madarasa

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Wanafunzi wenye ulemavu katika Shule ya Msingi Kawe iliyopo Manispaa ya Kinondoni wameomba wadau kujitokeza na kukarabatia madarasa yao ili waweze kujifunza vizuri. Shule hiyo ilikuwa na madarasa matatu ya wanafunzi 52 wenye ulemavu ambao ni wasioona, wenye ulemavu wa viungo, ulemavu wa akili, usonji na viziwi lakini kwa sasa…

Read More

Lema ataja chanzo cha umaskini kwa wakulima

Same. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema amesema kukosekana kwa sera nzuri za kilimo na uchumi nchini kumesababisha wakulima wengi washindwe kufanikiwa kupitia kilimo. Amesema hatua hiyo pia imesababisha kuwepo kwa kundi kubwa la vijana mitaani ambao hawana ajira, licha ya baba na mama zao kuwa na mashamba…

Read More

Kikwete ahimiza kasi utafutaji wa mafuta, gesi asilia nchini

RAIS Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ameitaka Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) kuhakikisha kuwa shughuli za utafutaji wa mafuta na gesi asilia nchini zinatekelezwa kwa kasi ili kuongeza ugunduzi wa rasilimali hiyo muhimu. Mhe. Kikwete ameyasema hayo tarehe 06 Julai 2024 wakati alipotembelea banda…

Read More