Anayedaiwa kukodi watu kuua mke asomewa maelezo

Dar es Salaam. Serikali imemsomea maelezo ya awali ya kesi aliyekuwa Ofisa Usalama wa Taifa, Zaburi Kitalamo (50) anayedaiwa kuwatuma washtakiwa wenzake wawili kumuua mkewe kwa kumchinja. Washtakiwa hao ni mfanyabiashara Roger Salumu (25) na mganga wa jadi Furaha Ngamba (47). Kitalamo au kwa jina lingine Peter Alex Kitalamo, mkazi wa Uzunguni wilayani Urambo mkoani…

Read More

DKT. JAFO AAHIDI USHIRIKIANO KWA WAFANYABIASHARA

WAZIRI wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Selemani Saidi Jafo (Mb) ameihakikishia sekta binafsi hususani Wafanyabiashara na Wawekezaji wa Viwanda kuwa watapata ushirikiano mkubwa katika kutatua changamoto mbalimbali za kibiashara ili kuhakikisha wanafanya biashara kwa chini ya uongozi wake. Ameyasema hayo Julai 5, 2024, alipokuwa akizungumza na baadhi ya Taasisi zilizochini ya Wizara yake zinazofanya…

Read More

UNESCO inateua hifadhi mpya 11 za biolojia – Masuala ya Ulimwenguni

Majina hayo mapya yapo Colombia, Jamhuri ya Dominika, Gambia, Italia, Mongolia, Ufilipino, Jamhuri ya Korea na Uhispania. Zaidi ya hayo, na kwa mara ya kwanza, orodha hiyo inajumuisha hifadhi mbili zinazovuka mipaka, zinazoanzia Ubelgiji na Uholanzi, na Italia na Slovenia. Audrey Azoulay, Mkurugenzi Mkuu wa UNESCOsisitiza kwamba majina haya yanakuja wakati ambapo ubinadamu “unapambana na…

Read More

Sabasaba yamkumbusha Kikwete enzi za utawala wake

Dar es Salaam. Rais mstaafu Jakaya Kikwete amesema Maonyesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa Dar es Salaam (DIFT) yamekuwa ya kipekee kwa kuboreshwa miundombinu, hususani ya barabara tofauti na miaka ya nyuma. Kikwete ameeleza hayo leo Julai 6, 2024 alipotembelea maonyesho hayo maarufu Sabasaba. Katika mazungumzo yake alikuwa akilinganisha hali anayoiona na miaka ya…

Read More

Nyumbani kwa Naibu Waziri Ujenzi walilia barabara

Songwe. Wananchi wa Kijiji cha Bwenda kilichopo katika Kata ya Lubanda mkoani Songwe, wamemlilia mbunge wa jimbo la Ileje (CCM) na Naibu Waziri wa Ujenzi, Godfrey Kasekenya kuhusu ubovu wa barabara katika jimbo hilo ambayo haipitiki wakati wa masika. Wananchi hao, pia, wamemlalamikia mkandarasi aliyetekeleza mradi wa barabara inayosimamiwa na Wakala wa Barabara Vijijini na…

Read More

Mabadiliko ya tabianchi yaacha kilio kwa wakulima wa zabibu

Dodoma. Uzalishaji wa zabibu nchini unatarajiwa kupungua mwaka huu, kutokana athari za mabadiliko ya tabia nchi zilizosababisha msimu mrefu wa mvua. Akizungumza leo Jumamosi, Julai 6, mwaka 2024 na Mwananchi, Mwenyekiti wa Wakulima wa Zabibu mkoani Dodoma, David Mwaka amesema kuwa mvua mwaka huu ilinyesha hadi Aprili, hivyo joto la Mei halikutosheleza zabibu kuzaa vizuri….

Read More

Simba yashusha mashine nyingine kutoka Congo

KLABU ya Simba imethibitisha kumsajili kiungo mkabaji Debora Fernandes kwa mkataba wa miaka mitatu. Mchezaji huyo aliyesajiliwa na Wekundu hao wa Msimbazi akitokea Klabu ya Mutondo Stars ya Zambia, anamudu kucheza kiungo mkabaji na  kiungo mshambuliaji yaani namba nane. Taarifa iliyotolewa na klabu hiyo imesemw: Kiungo Debora Fernandes, 24, mwenye uraia pacha wa Congo Brazzaville…

Read More

Kikwete akoshwa na Sabasaba akumbukia utawala wake

Dar es Salaam. Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete amesema maonyesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa Dar es Salaam (DIFT) kwa mwaka huu, yamekuwa ya kipekee kwa kuboreshwa miundo mbinu hususani ya barabara tofauti na miaka ya nyuma. Kikwete ameeleza hayo leo Julai 6, 2024 alipotembea DIFT maarufu kama sabasaba na katika…

Read More