Guede huyoo Singida BS, mchongo mzima uko hivi!

MSHAMBULIAJI aliyemaliza na mabao sita katika Ligi Kuu Bara na matatu ya Kombe la FA na moja la Ligi ya Mabingwa Afrika msimu uliopita akiwa na kikosi cha Yanga, Joseph Guede huenda akaendelea kusalia nchini licha ya kudaiwa kupewa ‘thank you’ Jangwani, baada ya kudaiwa anajiandaa kutua Singida Black Stars. Guede alijiunga na Yanga katika…

Read More

FANYENI MAZOEZI KUEPUKA MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA

WAZIRI wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde (MB) ameelekeza watumishi wa Wizara na Taasisi zote zilizopo chini ya Wizara yake ikiwemo Tume ya Madini kuhakikisha wanafanya mazoezi ili kupambana na magonjya yasiyo ya kuambukiza ikiwemo kisukari, moyo na shinikizo la damu. Pia, amemuagiza Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Mhandisi Yahya Samamba kuandaa Bonanza maalum litakalokutanisha…

Read More

Vyuo vyasukumiziwa zigo la utafiti kuboresha bidhaa

Dar es Salaam.  Baadhi ya wataalam wa masuala ya biashara wameelezea wasiwasi wao kuhusu kukosekana kwa tafiti zinaoshughulikia changamoto nyingi zinazowakabili wafanyabiashara ikiwemo jinsi ya kujiendesha katika teknolojia. “Tuna vyuo vikuu vingi, lakini matokeo mengi ya tafiti zao hayapatikani kwa urahisi kwa wale wanaohitaji ufumbuzi wa changamoto zao za biashara,’’ amesema mtaalamu wa uchumi Dk…

Read More

NAIBU KATIBU MKUU JENIFA OMOLO ATEMBELEA BANDA LA WIZARA YA FEDHA SABASABA 2024

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Bi. Jenifa Christian Omolo, akisikiliza maelekezo  kutoka kwa Afisa Tehama wa Wizara ya Fedha, Bw. Emmanuel Maendaenda, kuhusu namna mfumo wa GePG unavyofanyakazi, wakati alipotembelea Banda la Wizara ya Fedha katika Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) yanayofanyika katika viwanja vya Julius Nyerere Barabara ya Kilwa, Temeke,…

Read More

Taharuki makaburi 19 yakibomolewa na wasiofahamika Tabora

Tabora. Katika hali isiyokuwa ya kawaida watu wasiofahamika wameyavamia na kuyavunja makaburi 19 yaliyopo Mtaa wa Magubiko kata ya Kiloleni Manispaa ya Tabora, huku tabia hiyo ikitajwa kuwa imekuwa ya ikijirudia kwa matukio tofauti yanayofanana na hilo. Alexander Ntonge aliyezika ndugu yake hivi karibuni,  amesema yeye alipigiwa simu kuwa umetokea uharibifu wa kuvunjwa makaburi na…

Read More

Moloko, Namungo kuna jambo linakuja

UNAMKUMBUKA yule winga teleza wa zamani wa Yanga, Jesus Moloko? Unaambiwa jamaa baada ya kumaliza mkataba aliokuwa nao na klabu ya Al Sadaqa SC ya Libya, kwa sasa anajiandaa kurudi tena Bongo. Inadaiwa kuwa winga huyo aliyeachwa msimu uliopita na Yanga anajiandaa kutua Namungo ambayo imekuwa ikiwasiliana na kufanya naye mazungumzo na Moloko. Mchezaji huyo…

Read More

WAZIRI MKUU AZINDUA HOSPITALI YA RUFAA YA TOSAMAGANGA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  na Askofu wa Jimbo Katoliki  la Iringa , Tarcisius Ngalalekumtwa wakizundua  huduma ya mionzi  (CT SCAN) katika hospitali ya  Rufaa ngazi ya Tosamaganga mkoani Iringa, Julai 6, 2024. Kushoto ni  Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Peter Serukamba, wa pili kulia ni Mkurugenzi wa hospital hiyo,  Padri Benjamin  Mfaume na kulia ni…

Read More

RC Mtanda aibuka sakata la Tumsime dhidi ya Dk Nawanda

Mwanza. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda ameibuka, baada ya Tumsime Ngemela kumtaja alipozungumzia tuhuma za kulawitiwa na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Dk Yahya Nawanda. Tumsime akizungumza na waandishi wa habari jana Julai 5, 2024 jijini Dar es Salaam, alimtuhumu Mtanda kwamba alimshawishi kufuta malalamiko aliyoyafikisha polisi dhidi ya Dk Nawanda. Mtanda…

Read More