
WASANII WA TANZANIA WAKUTANA NA STAR WA KOREAN DRAMA ‘Son Ye-jin
BALOZI wa Tanzania nchini Korea, Togolani Edriss Mavura ameambatana na wasanii aliowaalika kufanya ziara nchini Korea kusini na kukutana na msanii mkubwa nchini humo Ye-Jin kwa lengo kuimarisha mahusiano na kubadilishana ujuzi katika soko la filamu na kubadilishana mawazo ya namna ya kuendeleza sekta hiyo kimataifa. Aidha wamekutana na na watengeneza filamu wakubwa Cheol-ha Lee…