19 zachuana kuwania ubingwa Gymkhana

TIMU 19 za soka zitachuana kuwania ubingwa wa Kombe la TBA katika fainali zitakazofika kilele, Julai 19 katika viwanja vya Gymkhana, Dar es Salaam. Mikikimikiki ilianza Julai Mosi kwenye viwanja hivyo vya Gymkhana, huku lengo kubwa likiwa kuboresha afya kwa timu shiriki ambazo zinamilikiwa na taasisi za mabenki hapa nchini. Mkurugenzi Mtendaji wa Umoja wa…

Read More

Stars ikijipanga inaenda tena Afcon

TANZANIA imepangwa katika kundi H la mashindano ya kuwania kufuzu fainali za Mataifa ya Afrika (Afcon) 2025 zitakazofanyika Morocco. Mechi hizo za makundi zitaanza kupigwa kati ya Septemba 2 hadi Novemba 19, 2024 kabla ya fainali kupigwa mapema mwakani. Katika kundi hilo ililopangwa Taifa Stars sambamba na timu za taifa za DR Congo, Guinea na…

Read More

Mapya yaibuka barabara iliyokuwa na nguzo katikati

Mwanza. Ni barabara yenye urefu wa kilomita 1.3 iliyoanza kujengwa kwa mawe Novemba, 2023 na kukamilika Aprili, 2024. Barabara ya Mchungwani iliyopo Mtaa wa Kiloleli ‘B’ wilayani Ilemela, jijini Mwanza, hivi karibuni ilikuwa gumzo mitandaoni kutokana na nguzo za umeme kuwa katikati ya barabara hivyo magari kupita kwa tabu. Hilo likipatiwa ufumbuzi na Shirika la…

Read More

Nape awaita wadhamini kwenye gofu

WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amewaita wadhamini mbalimbali kudhamini mashindano ya kwenye mchezo wa gofu ambao umeanza kukua kwa kasi hapa nchini. Nnauye ameyasema hayo kwenye mashindano ya Vodacom Golf Tour yanayoendelea kwenye viwanja vya Lugalo Golf Club jijini Dar es Salaam. Waziri huyo alisema kwa sasa mchezo wa gofu…

Read More

Gharama ya maisha, huduma mbovu za afya kilio kwa Watanzania

Dar es Salaam. Utafiti umeonyesha asilimia 81 ya Watanzania wanahitaji mabadiliko  katika huduma za kijamii, hasa uboreshaji wa huduma za afya. Katika maoni hayo yaliyokusanywa na Tume ya Mipango kuhusu Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 kutoka kwa Watanzania zaidi ya milioni moja,  asilimia 81 ya waliohojiwa walipendekeza uboreshaji wa huduma za afya huku asilimia…

Read More

MTU WA MPIRA: Hivi mapro wa kigeni wamewakosea nini?

NIMEONA sehemu mjadala kuhusu idadi ya wachezaji wa kigeni nchini. Kuna watu bado wanaamini kuwa idadi ya wachezaji 12 wa kigeni katika ligi yetu ni kubwa. Inashangaza sana. Hoja ya hawa wasioamini wanataka idadi ya wachezaji wa kigeni ipunguzwe. Wanadai wingi wa wageni unaziba nafasi za wachezaji wazawa. Inachekesha kidogo. Kuna vitu vinafikirisha kuhusu mjadala…

Read More

Washiriki Nanenane sasa kujisajili kidijitali

Tabora. Serikali imezindua mfumo wa wakulima na wafanyabiashara kujisajili kwa ajili ya kushiriki maonyesho ya kitaifa ya Nanenane ambayo kitaifa mwaka huu yatafanyika jijini Dodoma. Mfumo huo umezinduliwa leo Julai 6, 2024 mkoani Tabora na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Dotto Biteko ikiwa ni maandalizi ya sikukuu ya wakulima nchini itakayoadhimishwa Agosti…

Read More

Zimbabwe yavutiwa na banda ofisi ya Waziri Mkuu, yaahidi kuendeleza ushirikiano

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Waziri wa Nchi anayeshughulikia masuala ya Mikoa na Ugatuzi nchini Zimbawe, Ezra Chadzamira amesema wataendelea kuimarisha ushirikiano katika masuala mbalimbali ikiwemo sekta ya kilimo na uvuvi. Chadzamira ameyasema hayo leo Julai 6,2024 banda ya kutebelea banda jumuishi la Ofisi ya Waziri Mkuu na taasisi zilizo chini yake katika Maonesho ya…

Read More

Kampuni changa kuwezeshwa uwekezaji uchumi wa buluu

Unguja. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) inatarajia kupokea Euro 350 million (Sh1 trillion) kutoka Benki ya Uwekezaji ya Ulaya (EIB) kwa kushirikiana na Umoja wa Ulaya (EU). Lengo la fedha hizo ni kuziinua kampuni ndogondogo zinazotaka kuwekeza katika sekta ya uchumi wa buluu. Baada ya fedha hizo kutolewa zitaleta ahueni kwa kampuni hizo zilizokuwa…

Read More