WAZIRI MKUU ASHIRIKI MBIO ZA GREAT RUAHA MARATHON

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akishiriki katika mbio za Great Ruaha Marathon 2024 zilizofanyika ndani ya  hifadhi ya Ruaha, Mkoani Iringa, Julai 6, 2024.  Mbio hizo zililenga kukuza utalii  na kutoa hamasa ya kuhifadhi mazingira kwenye vyanzo vya maji vya Mto Ruaha Mkuu.   (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Julai 06, 2024 ameshiriki katika mbio…

Read More

TAWA YANADI FURSA ZA UWEKEZAJI MAONESHO SABASABA 2024

Na Beatus Maganja, Dar es Salaam. MAMLAKA ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) inatumia maonesho ya 48 ya kimataifa ya kibiashara yanayoendelea Jijini Dar es Salaam kuhamasisha Umma wa watanzania wawekezaji na wageni kutoka mataifa mbalimbali kuwekeza katika maeneo inayoyasimamia huku ikijinasibu kuwa na fursa lukuki za uwekezaji Akiongea na wageni waliotembelea banda la TAWA…

Read More

TANROADS Geita yatekeleza maagizo ya Waziri Bashungwa

Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) imetekeleza maelekezo ya Waziri wa Ujenzi, Mhe. Innocent Bashungwa kwa kukamilisha Upembuzi Yakinifu na Usanifu wa Kina wa Barabara ya Ushirombo – Nyikonga – Katoro (58km). Kipande cha Nikonga – Kashelo (10.48km) pamoja na Daraja la Nyikonga, kipande cha Kashelo – Ilolangulu (15.0km) na kipande cha Ushirombo (Kilimahewa) – Nanda…

Read More

Benki Kuu kununua tani sita za dhahabu

Dar es Salaam. Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imesema kwa mwaka huu wa fedha (2024/2025) inatarajia kununua tani sita za dhahabu,  ili kutunisha akiba ya madini hayo yanayoweza kutumika kama fedha kufanya ununuzi mbalimbali. Hayo yameelezwa Alhamisi wiki hii na Naibu Gavana wa BoT anayeshughulikia uchumi na sera za kifedha, Dk Yamungu Kayandabila katika mkutano…

Read More

Watatu matatani wakidaiwa kuhujumu miundombinu ya SGR

Morogoro. Watu watatu wanashikiliwa na vyombo vya ulinzi na usalama,  kwa tuhuma za wizi na uharibifu wa miundombinu katika reli ya kisasa (SGR), kipande cha Morogoro – Dodoma.  Mkuu wa Mkoa  wa Morogoro, Adam Malima amethibitisha kukamatwa kwa watu hao na kuwaonya wananchi wenye mawazo ya kuhujumu miundombinu kuacha mara moja. Akizungumza na Mwananchi Digital…

Read More

RITA YASHIRIKI MAONESHO YA SABASABA KWA MAFANIKIO

  Afisa msajili.  Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) ,Mariam Ling’ande (kulia) wakiendelea na kazi ya kuwahudumia wananchi waliotembelea mbanda hilo katika maonesho ya kimataifa yanayo fanyika Sabasaba jijini Dar as Salaam. Mafisa mbalimbali wa Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) wakiendelea na kazi ya kuwahudumia wananchi waliotembelea mbanda hilo katika maonesho ya kimataifa yanayo…

Read More

Aliyetakiwa Simba atambulishwa Mamelodi | Mwanaspoti

BAADA ya kukwama kujiunga na Klabu ya Simba, Kocha Steve Komphela ametua Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini. Komphela ataungana na Monqoba Mngqithi kukikonoa kikosi hicho kuchukua mikoba ya Rhulani Mokwena aliyefutwa kazi siku chache zilizopita. Ikutakumbukwa kwamba Komphela amerejea Mamelodi alikowahi kufanya kazi kuanzia 2020 hadi 2023 akisaidiana na Mokwena. Kabla ya kutambulishwa Mamelodi, Komphela…

Read More