Waandamanaji wampinga Maduro, Venezuela | Mwananchi

Caracas. Kufuatia matokeo ya uchaguzi yaliyompa ushindi Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro, maelfu ya wananchi wameyapinga na kuzua vurugu katika Jiji la Caracas. Hasira za umma ziliongezeka baada ya Baraza la Taifa la Uchaguzi (CNE) Jumatatu kutangaza rasmi kuwa, Maduro alichaguliwa tena na wapiga kura wengi kuwa Rais kwa muhula mwingine wa miaka sita (2025-2031),…

Read More

Mchengerwa: Kuaminiana kumepunguza migogoro ya wafanyabiashara

  WAZIRI wa Nchini Ofisi ya Rais Tawala ya Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohamed Mchengerwa amesema kuimarika kwa ushirikiano na kuaminiana kati ya sekta za umma na binafsi kumeongeza ufanisi katika utekelezaji wa miradi ya kimkakati na kijamii sambamba na kupungua migogoro ya wafanyabiashara. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Akizungumza…

Read More

Maelfu waandamana Venezuela kupinga ushindi wa Rais Maduro

  Vikosi vya usalama nchini Venezuela vimetumia mabomu ya machozi na risasi za mpira kuwatawanya waandamanaji walioingia mitaani kupinga matokeo ya uchaguzi yaliyompa ushindi rais Nicolas Maduro. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea). Matokeo hayo ya uchaguzi wa juzi Jumapili yanapingwa na upande wa upinzani pamoja na kutiliwa mashaka na mataifa kadhaa ya kigeni. Maelfu…

Read More

MWISHO MBAYA: Mbappe, PSG wanavyotafuta kuumizana

PARIS, UFARANSA: WIKI kadhaa zilizopita, kulikuwa na stori ya Kylian Mbappe kutaka kuishtaki Paris Saint-Germain (PSG) kwa kutomlipa baadhi ya mishahara yake ambapo mama yake alithibitisha. Timu ya wanasheria wa mchezaji huyo wa kimataifa wa Ufaransa iko tayari kuwasilisha kesi mahakamani dhidi ya mabingwa hao wa Ligi Kuu Ufaransa (Ligue 1), kwa kudai kwamba mishahara…

Read More