Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: July 2024

  • Home
  • 2024
  • July
  • Page 25
Habari

Urusi yaanza luteka kubwa za jeshi lake la wanamaji – DW – 30.07.2024

July 30, 2024 Admin

Meli zipatazo 300, zikiwemo nyambizi, na zaidi ya maafisa 20,000 watahusika katika mazoezi hayo, ambayo yanafanywa katika Bahari ya Pasifiki na Arctic, pamoja na zile

Read More
Habari

Waandamanaji wampinga Maduro, Venezuela | Mwananchi

July 30, 2024 Admin

Caracas. Kufuatia matokeo ya uchaguzi yaliyompa ushindi Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro, maelfu ya wananchi wameyapinga na kuzua vurugu katika Jiji la Caracas. Hasira za

Read More
Michezo

UBISHI WA MZEE WA KALIUA: Kama tunataka kombe la Afrika tupunguze usela

July 30, 2024 Admin

NDOTO ya klabu za Simba na Yanga kwa sasa ni kuja kutwaa ubingwa wa Afrika. Safari hiyo siyo mbali sana wala karibu sana. Ni kama

Read More
Habari

Mchengerwa: Kuaminiana kumepunguza migogoro ya wafanyabiashara

July 30, 2024 Admin

  WAZIRI wa Nchini Ofisi ya Rais Tawala ya Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohamed Mchengerwa amesema kuimarika kwa ushirikiano na kuaminiana kati ya

Read More
Habari

Lebanon katika hali ya tahadhari ikihofia kisasi cha Israel – DW – 30.07.2024

July 30, 2024 Admin

Alipotembelea siku ya Jumatatu mji wa Majdal Shams uliopo katika eneo la milima ya Golan kulikotokea shambulizi la roketi lililowaua vijana 12 siku ya Jumamosi,

Read More
Michezo

Nabi: Yanga ni balaa!  Atoa angalizo Simba, Chivaviro asimulia

July 30, 2024 Admin

KOCHA wa Kaizer Chiefs, Nasredine Nabi ameliambia Mwanaspoti kuwa Yanga ina mabadiliko makubwa na chochote kinaweza kumkuta yoyote msimu ujao. Nabi ambaye ni kocha wa

Read More
Habari

Maelfu waandamana Venezuela kupinga ushindi wa Rais Maduro

July 30, 2024 Admin

  Vikosi vya usalama nchini Venezuela vimetumia mabomu ya machozi na risasi za mpira kuwatawanya waandamanaji walioingia mitaani kupinga matokeo ya uchaguzi yaliyompa ushindi rais

Read More
Habari

MAAFISA WA KIJESHI WA URUSI WAUAWA NA WAASI NCHINI MALI – MWANAHARAKATI MZALENDO

July 30, 2024 Admin

– Kamanda wa kundi la kujitolea wa Urusi ameuawa nchini Mali kufuatia shambulio lililofanywa na waasi wakati wa dhoruba ya mchanga. Kundi hili la mamluki,

Read More
Habari

Mtu mmoja amekufa katika maandamano ya Venezuela – DW – 30.07.2024

July 30, 2024 Admin

Shirika moja lisilo la kiserikali la Foro Penal, ndio limethibitisha kifo cha mtu mmoja kupitia mtandao wa X na kusema kwamba mtu huyo amefariki katika

Read More
Michezo

MWISHO MBAYA: Mbappe, PSG wanavyotafuta kuumizana

July 30, 2024 Admin

PARIS, UFARANSA: WIKI kadhaa zilizopita, kulikuwa na stori ya Kylian Mbappe kutaka kuishtaki Paris Saint-Germain (PSG) kwa kutomlipa baadhi ya mishahara yake ambapo mama yake

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 24 25 26 … 315 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.