SIDO YAENDELEA KUSAIDIA WAJASIRIAMALI KUJIKITA KUANZISHA VIWANDA VIDOGO

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV SHIRIKA la Kuhudumia Viwanda Vidogo (SIDO) limeendelea kuhakikisha linawassaidia wananchi na wajasiriamali kuanzisha, kuendeleza na kuimarisha misingi ya ubunifu kwa lengo la kuongeza fursa za ajira. Akizungumza Julai 5,2024Jijini Dar es salaam kwenye Maonesho ya 48 ya Biashara ya kimataifa Sabasaba, Mkurugenzi Mkuu SIDO, Silvester Mpanduji amesema kupitia huduma wanazozitoa…

Read More

Serikali yakanusha kuchelewa kutoa vibali vya uagizaji wa sukari

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital BODI ya Sukari Tanzania imekanusha taarifa za kuchelewa kutoa vibali vya uagizaji wa sukari kwa kampuni za wazalishaji nchini, badala yake baadhi ya kampuni hizo zilichelewa zenyewe kuchukua vibali hivyo. Hayo yamesemwa leo Julai 5, 2024 na Mkurugenzi wa Bodi ya Sukari Tanzania, Profesa Kenneth Bengesi, alipokuwa akizungumza na waandishi…

Read More

Unesco kuiunga mkono Tanzania mageuzi ya kidijitali

Dar es Salaam. Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (Unesco) limesema liko tayari kuiunga mkono Tanzania katika kuimarisha mabadiliko ya kidijitali. Mkurugenzi Msaidizi wa Habari na Mawasiliano wa Unesco, Tawfik Jelassi amesema hayo kupitia barua kwa Mkurugenzi wa Tume ya Tehama nchini, Dk Nkundwe Mwasaga. Dk Nkundwe hivi karibuni alikuwa kikazi…

Read More