Bakita, wadau wakitangaza Kiswahili mtaa kwa mtaa Dar

Dar es Salaam. Kuelekea maadhimisho ya lugha ya Kiswahili Duniani Julai 7, Wanafunzi wa shule mbalimbali za msingi na sekondari, walimu, wananchi pamoja na wadau wa lugha ya Kiswahili wamefanya matembezi ya mtaa kwa mtaa kunadi lugha ya Kiswahili. Matembezi hayo ambayo yameandaliwa na Baraza la Kiswahili Taifa (Bakita) kwa kushirikiana na wadau mbalimbali ikiwemo…

Read More

Awesu, Simba ni suala la muda tu

Simba inadaiwa kuwa mbioni kukamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji Awesu Awesu kutoka KMC kwa mkataba wa miaka miwili. Mchezaji huyo anakaribia kujiunga na Simba baada ya kumaliza mkataba wake na KMC. Awesu ana uwezo mkubwa wa kucheza nafasi ya kiungo mshambuliaji na pia winga, ingawa kuna nyakati amewahi kutumika kama kiungo wa ulinzi. Awesu anaachana…

Read More

Lema ataja umaskini Same chanzo ni kukosa soko la tangawizi

Same. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema amesema licha ya Wilaya ya Same kulima zao la tangawizi kwa wingi, bado wananchi wake wameendelea kuwa na hali mbaya kiuchumi kutokana na zao hilo kukosa soko. Amesema maji ya tangawizi nchini Marekani yanauzwa Dola 12 (Sh31,200), hata hivyo kukosekana kwa…

Read More

Sakata la Mashaka, Geita na Simba liko hivi

Wakati Geita Gold ikiijia juu Simba kumtambulisha mchezaji Valentino Mashaka ikidai hawakufuata utaratibu kwa madai bado ni mali yao, nyota huyo ameiruka timu hiyo akieleza mkataba wake ulikuwa umeisha. Simba imemtambulisha Mashaka leo Julai 5 akiwa ni mchezaji wa tano kusaini kandarasi kwa wachezaji wapya, jambo ambalo limeonekana kuwashtua Geita Gold wakidai kuwa bado nyota…

Read More

TUME YA UTUMISHI WA MAHAKAMA YAWAITA WANANCHI WENYE MALALAMIKO

Na Karama Kenyunko Michuzi Tv TUME ya Utumishi wa Mahakama imewataka wananchi wenye malalamiko mbalimbali kuhusu vitendo vya ukiukwaji wa maadili ikiwemo kuombwa rushwa unaofanywa na mahakimu na majaji wawasilishe kwa njia ya maandishi. Imeelezwa baada ya Tume kupokea malalamiko hayo hufanya uchunguzi kujiridhisha na tuhuma zinazotolewa dhidi ya watumishi hao na ikibainika kuchukua hatua…

Read More

PPAA YAAENDELEA KUTOA ELIMU SABASABA

Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imeendelea kutoa elimu kwa Umma kuhusu mjukumu, malengo pamoja na mafanikio yake kupitia Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) yanayoendelea Jijini Dar es Salaam. Kupitia maonesho ya Sabasaba yanayoendelea wananchi, wazabuni, taasisi nunuzi pamoja na wadau wa sekta ya ununuzi wameendelea kupata elimu kuhusu PPAA…

Read More

Zuhura Yunus ahimiza watumishi kutatua changamoto za wananchi

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Zuhura Yunus amewahimiza watumishi wa ofisi hiyo kuendelea kutatua changamoto za wananchi na kuwaelimisha kuhusu masuala mbalimbali yanayotekelezwa. Zuhura ameyasema hayo leo Julai 5,2024 alipotembelea banda jumuishi la Ofisi ya Waziri Mkuu pamoja na taasisi zake katika…

Read More