Mwenyekiti Wafanyabiashara Kariakoo aipongeza TRA

Na Karama Kenyunko Michuzi Tv MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Kariakoo, Martin Mbwana amepongeza hatua inayofanywa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ya kuangalia upya mfumo wa kodi bandarini. Amesema mifumo iliyopo sasa imekuwa kilio cha muda mrefu kwa wananchi hivyo mabadiliyo yanayotarajiwa ya kuiboresha na kubadili mifumo hiyo, itaongeza ufanisi na kurahisisha biashara. Mbwana…

Read More

Muda unakaribia kama tarehe ya mwisho ya 2030 inakaribia kwa mpango wa Umoja wa Mataifa kwa siku zijazo nzuri – Masuala ya Ulimwenguni

Mwaka 2024 Jukwaa la ngazi ya juu la Siasa kuhusu Maendeleo Endelevu (HLPF) itafuata kuanzia Septemba iliyopita Mkutano wa SDGiliyofafanuliwa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa wakati huo kama “wakati wa umoja” kugeuza Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDGs) katika ukweli. Mawaziri wa Serikali, wanaharakati na wanachama wa mashirika ya kiraia watakutana na kujadiliana wakati…

Read More

Mauaji ya visasi vya kifamilia yatikisa Katavi

Katavi. Jeshi la Polisi Mkoa wa Katavi limeeleza mafanikio ya operesheni, doria, misako na hatua za kesi zilizofikishwa mahakamani ambapo watu 74 wanashikiliwa na jeshi hilo kwa makosa mbalimbali ikiwemo watu 12 kutuhuma kuhusika na mauaji ya wanafamilia. Akizungumza na vyombo vya habari leo Julai 5, 2024, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi, Kaster Ngonyani…

Read More

WANANCHI WAJITOKEZA KWA WINGI BANDA LA OFISI YA WAZIRI MKUU

Wananchi wameendelea kujitokeaza kwa wingi katika banda la Ofisi ya Waziri Mkuu kwa ajili ya kupata huduma na uelewa wa masuala mbalimbali yanayotekelezwa na ofisi hiyo. Aidha, katika maonesho hayo Ofisi ya Waziri Mkuu inashiriki pamoja na Taasisi zake na imeendelea kuwaelimisha na kuwafahamisha wananchi na wadau juu ya masuala mbalimbali yanayotekelezwa na ofisi hiyo…

Read More

Bodi ya Sukari yajibu hoja za wazalishaji utoaji vibali

Dar es Salaam. Bodi ya Sukari Tanzania (SBT), imejibu hoja za wazalishaji wa bidhaa hiyo nchini walizoziibua Julai Mosi, wakidai hatua yao ya kuchelewa kuagiza sukari, ilitokana na kucheleweshewa vibali na SBT. Pia waliilalamikia SBT kwamba ilitoa vibali vya uagizaji sukari kwa kampuni zisizostahili, jambo ambalo ni kinyume cha sheria. Kwa mujibu wa Mkurugenzi Mtendaji…

Read More

EWURA YAENDELEA KUHAMASISHA MATUMIZI YA NISHATI SAFI SABASABA

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM SERIKALI kupitia Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imesema kuwa itaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali katika kuhamasisha matumuzi ya nishati safi ya kupikia ili kuendana na Mkakati wa Kitaifa ambao umelenga kuhakikisha Watanzania wanahamia kwenye matumizi ya nishati safi ya kupikia. Hayo yamebainishwa katika viwanja…

Read More

Fadlu Davids arithi mikoba ya Benchikha Simba SC

Kocha Fadlu Davids ametangazwa kuwa kocha mkuu wa Simba SC, baada ya kufikia makubaliano na uongozi wa klabu hiyo. Kocha huyo raia wa Afrika Kusini mwenye umri wa miaka 43 amesaini mkataba wa miaka miwili kukinoa kikosi cha Simba SC. Kabla ya kujiunga na Simba SC, Fadlu alikuwa kocha Msaidizi wa mabingwa wa soka nchini…

Read More