Kenya yapunguza bajeti kwa shilingi bilioni 177 – DW – 05.07.2024

Kwenye mabadiliko hayo aidha, nusu ya washauri wa serikali watasimamishwa kazi. Haya yamejiri baada ya maandamano ya wiki tatu ya kuishinikiza serikali kufanya mageuzi.  Akilihutubia taifa Ijumaa alasiri, Rais William Ruto alitangaza mabadiliko makubwa serikalini yanayoashiria kulegeza msimamo kufuatia shinikizo za maandamano ya kuipinga serikali. Rais Ruto alisema atawasilisha kwenye bunge la taifa, bajeti iliyopunguzwa kwa…

Read More

Rais Samia atoa sababu kumwondoa Kidata TRA, wadau wafunguka

Dar es Salaam. Uamuzi wa Rais Samia Suluhu Hassan kumuondoa Alphayo Kidata kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), umetajwa na wadau, unalenga kumuweka karibu zaidi na Rais kwa ajili ya kumshauri namna ya kuyaenenda masuala ya kikodi. Ingawa wengine wanayatazama mabadiliko hayo kwa sura hiyo, baadhi ya wadau wameona kilichofanywa na Rais ni kupunguza vita…

Read More

SHINDANO LA “VODACOM LUGALO OPEN 2024” LAANZA VYEMA

SHINDANO la Wazi la Mchezo wa Gofu “Vodacom Lugalo Open 2024″limeanza rasmi leo kwa Wachezaji wa Ridhaa na wa Kulipwa katika Klabu ya Lugalo Jijini Dar es Salaam. Akizungumza Mapema Leo Julai 05,2024 Viwanja vya Klabu ya Lugalo gofu Jijini Dar es Salaam Meja Japhet Masai Nahodha Wa Klabu Ya Lugalo amesema, Muitikio umekuwa Mkubwa…

Read More

Hiki ndicho anachokipeleka Baleke Yanga

HII sasa sifa. Hizi huenda zikawa taarifa za kushtukiza kwa mashabiki wa soka nchini, kwamba baada ya Yanga kumbeba Clatous Chama kutoka Simba na Prince Dube aliyekuwa Azam, sasa imemshusha kikosini, Jean Baleke aliyewahi kuwika na Wekundu wa Msimbazi miezi sita tu iliyopita,  lakini hiki ndicho anachokwenda nacho Jangwani. Ndio, hivi unavyosoma Mwanaspoti ni kwamba…

Read More

TVLA YATOA ELIMU KWENYE MAONESHO SABASABA

WATAALAM wa Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA) wakiongozwa Mtendaji Mkuu wake Dkt. Stella Bitanyi wameendelea kutoa elimu kuhusiana na huduma mbalimbali zinazotolewa na TVLA katika Maonesho ya 48 ya Biashara Kimataifa ya Dar Es Salaam (Sabasaba) tangu yalipoanza Juni 28, 2024 na kutarajiwa kuhitimishwa Julai 13, 2024. Akizungumza katika maonesho hayo Julai 05,…

Read More

Maafande wa jeshi kuonyeshana kazi Dar

Mashindano ya Kombe la Mkuu wa Majeshi, (CDF 2024) yanatarajiwa kuanza Julai 20 na kutamatika Julai 30, 2024 ambapo mechi ya ufunguzi itachezwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa. Akizungumza na waaandishi wa habari Mwenyekiti wa Mashindano, Brigedia Jenerali, Said Hamis Said amesema wamejiandaa vyema na kwamba mashindano hayo yatakuwa ya kuvutia, huku akitaja lengo la…

Read More

Wajasiriamali wapewa mbinu za kutoboa

Dar es Salaam. Wakati tafiti zikionesha wajasiriamali wadogo na wakati wakikabiliwa na changamoto lukuki zinazowafanya wasipige hatua, waaalamu wametoa suluhuhisho ya kukabiliana na changamoto hizo. Ukosefu wa mitaji, ukosefu wa masoko ya uhakika ya bidhaa yao, kukosa maarifa na elimu ya fedha ni miongoni mwa changamoto zinazotajwa kudumuza sekta hiyo endapo hatua mathubuti hazitachukuliwa. Hatua…

Read More