Tamasha la Utamaduni na Utalii laanza kwa kishindo Bariadi

Tamasha la Utamaduni na Utalii Kanda ya Ziwa-Lake Zone Cultural and Tourism Festival limeanza Mjini Bariadi kwa kishindo huku Wizara ya Maliasili na Utalii ikisema itaendelea kuwekeza katika utalii wa utamaduni ili kuutangaza zaidi utamaduni wa Kitanzania. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Dunstan Kitandula wakati wa ufunguzi rasmi wa Tamasha la…

Read More

Ushahidi kinzani wa mtoto ulivyomnusuru mfungwa maisha jela

Dar es Salaam. Mahakama ya Rufani imemuachilia huru mkazi wa Nyarugusu wilayani Kasulu Mkoa wa Kigoma, Alonda Ekela aliyekuwa akitumikia kifungo cha maisha jela kwa kosa la ubakaji, baada ya kubaini kuwa ushahidi uliotolewa na mashahidi wawili ulikuwa ukipishana. Katika kesi ya msingi, Alonda alishtakiwa kwa kosa la ubakaji chini ya kifungu cha 5(2) (e)…

Read More

Polisi yaanika uchunguzi dhidi ya aliyekuwa RC Simiyu

Mwanza. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbroad Mutafungwa amesema Jeshi hilo leo Julai 5, 2024 limepokea taarifa za uchunguzi wa vielelezo kuhusu aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Dk Yahya Nawanda anayedaiwa kumlawiti Tumsime Ngemela. Amesema taarifa hizo wamezipokea kutoka maabara za uchunguzi wa kisayansi. Kamanda Mutafugwa amesema hayo saa chache baada ya Tumsime…

Read More

Serikali yatoa msimamo sakata la Sukari

*Yasema haina mpango wa kuhujumu sekta hiyo *SBT yasema milango iko wazi kwa wanye malalamiko Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Serikali imetoa ufafanuzi kuhusu hali ya sukari nchini na kueleza kuwa haina mpango wa kuhujumu sekta hiyo. Serikali inafanya jitihada kuhakikisha sukari inapatikana ya kutosha kwa bei nafuu. Kauli hiyo imetolewa leo Ijumaa, Julai 5,…

Read More

Rais Samia: Nilimuondoa Kidata kwa sababu atadata

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan ametoa sababu za kumuondoa aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Alphayo Kidata kwa kusema aliona mwisho wa siku ‘atadata’ (atachanganyikiwa). Samia amesema “Kidata alifanya kazi nzuri lakini niliona atadata, sasa nakupeleka wewe kijana wa Dar es Salaam mtoto wa mjini uhuni wote uliopo TRA umeufanya…

Read More

Rais Samia akerwa waziri, katibu mkuu kuparurana

RAIS Samia Suluhu Hassan ameeleza kukerwa na ugomvi kati ya Waziri wa Madini, Anthony Mavunde na aliyekuwa Katibu Mkuu wa wizara hiyo Kheri Abdul Mahimbali. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Amesema haelewi ni kwanini waziri na katibu mkuu wake wanagombana na wanagombea kitu gani wakati kila mtu ana majukumu yake. Aliyekuwa Katibu Mkuu wa wizara…

Read More

Bodi ya Sukari yatoa msimamo wa Serikali

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital BODI ya Sukari nchini Tanzania imesema msimamo wa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kuwalinda wananchi, wakulima, wawekezaji na wadau wengine muhimu kwa kuhakikisha inafanya maboresho makubwa kwa maslahi ya Watanzanaia wote. Mkurugenzi wa Bodi ya Sukari Tanzania, Profesa Kenneth Bengesi, akizungumza na wahariri na waandishi wa habari….

Read More

Rais Ruto atangaza uamuzi mzito, afuta bajeti wenza wa viongozi

Nairobi. Rais wa Kenya, William Ruto ametangaza kupunguza bajeti kwa Sh177 bilioni kuziba pengo litakalotokea baada ya kutosaini Muswada wa Fedha 2024. Kupitia hotuba yake aliyoitoa Ikulu leo Ijumaa, Julai 5, 2024 jijini Nairobi amesema Serikali itawasilisha pendekezo bungeni kupunguzwa kwa matumizi makubwa baada ya kutosaini muswada uliolenga kukusanya Sh346 bilioni ikiwa ni kodi mpya….

Read More

Tumechoka kukopa, Mwenda kazibe mianya

RAIS Samia Suluhu Hassan amemuagiza Kamishna mpya wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Mwenda kwenda kutumia kuziba mianya ya ukwepaji kodi kwa sababu vichochochoro vyote anavijua. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Amesema Serikali ya Tanzania imechoka kunyanyasika kukopa kutoka kwa washirika mbalimbali wa maendeleo ilihali makusanyo yam waka mmoja kutoka kwenye soko la Kariakoo…

Read More