
Bodi ya sukari, wazalishaji jino kwa jino
MVUTANO wa utoaji wa vibali za sukari na nakisi umeendelea kushika kasi, baada ya Bodi ya Sukari Tanzania (SBT) kueleza kuwa wazalishaji hawasemi ukweli juu ya hali iliyotokea mwaka jana na mwaka huu. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Balozi Ami Mpungwe Kauli hiyo ya SBT inakuja siku chache baada ya Umoja wa Wazalishaji Sukari Tanzania…