Sakata matibabu ya Sativa labeba sura ya kisiasa

Dar es Salaam. Sakata la matibabu ya Edgar Mwakabela, maarufu Sativa aliyejeruhiwa baada ya kutekwa kwa siku nne na kutelekezwa katika Hifadhi ya Taifa ya Katavi, limechukua sura ya kisiasa baada ya pande tofauti za wanasiasa kutia mguu kwenye suala hilo. Sativa alitoweka Juni 23, 2024 na kupatikana Juni 27, 2024 akiwa amejeruhiwa hasa kwenye…

Read More

Hersi aongoza dua maalum ya Manji

RAIS wa Yanga, Injinia Hersi Said ameongoza dua maalumu ya kumuombea aliyekuwa mwenyekiti na mfadhili wa klabu hiyo, Yusuf Manji. Dua hiyo imefanyika leo, makao makuu ya klabu hiyo yaliyopo mitaa ya Twiga na Jangwani na kuhudhuriwa pia na ofisa Mtendaji Mkuu wa Yanga, Andre Mtine na viongozi wengine wa klabu hiyo. Walikuwapo pia wazee…

Read More

Wanaomkwamisha Samia kuipatia Tanzania katiba mpya, watajwa

Mtandao wa Utetezi wa Haki za Binadamuy Tanzania (THRDC) umesema watu wanaomzunguka Rais Samia Suluhu Hassan ndio wanaomkwamisha kukamilisha mchakato wa upatikanaji wa Katiba Mpya. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Pia mtandao huo umeeleza kuwa mfumo wa sheria kandamizi pamoja na katiba ya sasa ni chanzo kinachomkwamisha Rais Samia kutekeleza utashi wake katika utetezi wa…

Read More

UWAWATA WAOMBA KUENDELEZA UJUZI WAO KWA TAIFA

WAFANYAKAZI Wastaafu wa Shirika la Umeme Tanzania-TANESCO (UWAWATA)wamemuomba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan kutambua uwezo na taaluma zao katika kuendeleza na kukuza Maendeleo nchini. Akitoa rai hiyo Leo Julai 04,2024 Jijini Dar es Salaam Mwenyekiti wa UWAWATA, Boniface Njombe amesema kwa kutambua taaluma za umoja huo bado wanaimani wanamchango mkubwa…

Read More

MAKAMBO: Mbrazili alininyima ulaji Dubai

JINA la Athuman Masumbuko ‘Makambo’ lilianza kujulikana na kutambulika kwenye michuano ya Ligi ya Vijana U-20 ambayo ipo chini ya Shirikisho la Soka nchini (TFF). Wakati huo, Makambo alikuwa Mtibwa Sugar ya vijana ambayo iliweka rekodi ya kipekee kwa miaka ya hivi karibuni ikibeba ubingwa mara tano mfululizo kuanzia 2018. Msimu uliopita alifanya vizuri kwenye…

Read More

Watuhumiwa walioteka 100 hawajafikishwa mahakamani, THRDC wataka tume huru

Mtandao wa Utetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) umetoa wito kwa Rais Samia Suluhu Hassan kuunda tume huru ya kuchunguza matukio yote ya utekaji kuanzia mwaka 2016 hadi sasa hasa ikizingatiwa hata katika matukio makubwa ya utekaji hakuna watuhumiwa waliokamatwa na kufikishwa mahakamani. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Amesema hatua hiyo itasaidia kuchunguza matukio…

Read More