SEKTA YA MADINI IMEWAFUNGULIA FURSA WATANZANIA, CHANGAMKENI

Na Wizara ya Madini Kama umekuwa ukifuatilia kwa karibu juhudi zinazofanywa na Serikali ya Tanzania kuwezesha ushiriki wa Watanzania katika uchumi wa Madini ni vizuri kuona matokeo chanya yanayopatikana kupitia hatua mbalimbali kuanzia Marekebisho ya Sheria ya Madini yaliyofanyika mwaka 2017 ambayo yalijumuisha hitaji la matumizi ya huduma na bidhaa zinazopatikana nchini Tanzania. Marekebisho haya…

Read More

Uwekezaji Bandari Dar waduwaza viongozi UVCCM

UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) umetembelea maeneo ya uwekezaji katika Bandari ya Dar es Salaam uliofanywa na kampuni ya DP World na kusisitiza uwekezaji huo umeleta mabadiliko makubwa ya kiutendaji na ufanisi mkubwa bandarini hapo kwa maendeleo na ustawi wa nchi. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Akizungumza mara baada ya ziara ya…

Read More

VALENTINO MASHAKA NI MNYAMA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Klabu ya Simba SC imefanikiwa kuinasa saini ya mshambuliaji mzawa na kijana, Valentino Mashaka kutoka Geita Gold kwa mkataba wa miaka miwili. Valentino mwenye umri wa miaka 18 ni kijana mwenye kipaji na uwezo mkubwa wa kufunga na kutengeneza nafasi hivyo klabu imemuona kama mtu sahihi katika uundaji wa kikosi chake kipya. Msimu uliopita Valentino…

Read More

Waziri mkuu azindua kamati ya kitaifa AFCON 2027

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa leo Julai 05, 2024 amezindua Kamati ya Kitaifa ya Maandalizi ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2027) na kuahidi kuwa Serikali itafanya nayo kazi kwa karibu ili iweze kufanikisha malengo ya Tanzania kufanya vizuri kwenye michuano hiyo. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa kamati hiyo kwenye hafla iliyofanyika katika hotel ya…

Read More

Keir Starmer achukua wadhifa wa Waziri Mkuu wa Uingereza – DW – 05.07.2024

Ushindi huo unahitimisha enzi ya serikali ya chama cha kihafidhina cha Conservative, kilichokaa madarakani kwa miaka 14.  Starmer amechukua wadhifa huo muda mfupi baada ya kukutana na Mfalme Charles III kwenye la Buckingham na kuombwa rasmi kuunda serikali mpya. Mwanasiasa huyo amekiongoza chama chake kupata ushindi mkubwa kabisa na wa kihistoria katika uchaguzi wa hapo jana….

Read More

Kampuni mbili za Kitanzania zajitosa matengenezo Mv Kigamboni

Dar es Salaam. Muda wa zabuni iliyotangazwa kusaka mkandarasi atakayekifanyia matengenezo makubwa kivuko cha Mv Kigamboni umefika mwisho, kampuni mbili za Kitanzania zikijitokeza kuomba kazi hiyo. Kwa mujibu wa taarifa ya zabuni hiyo namba X8/2023/2024/W/53 mkandarasi anayehitajika ni atakayekuwa na uwezo wa kufanya ukarabati mkubwa wa kivuko hicho, kwa maana ya kubadilisha zaidi ya asilimia…

Read More