WAWEKEZAJI KUTOKA NJE WAKARIBISHWA KUWEKEZA TANZANIA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Stanslaus Nyongo amesema Maonesho ya 48 ya Kimataifa ya Biashara maarufu (Sabasaba) ni fursa muhimu ya kutangaza na kuwakaribisha wawekezaji ili kuona fursa mbalimbali za uwekezaji nchini. Ameongeza kuwa Maonesho hayo yamekuwa na mvuto mkubwa kwa kuwa Wizara na taasisi zilizoshiriki zimeonesha fursa zilizopo katika uwekezaji. “Tanzania…

Read More

Vita kusitishwa kwa muda mashariki mwa Kongo – DW – 05.07.2024

Ikulu ya Marekani ya White House imesema makubaliano hayo ya kusitisha mapigano yatakayoanza kutekelezwa leo Ijumaa kuanzia saa sita usiku na kuendelea hadi Julai 19, yatayahusisha maeneo ambayo migogoro huwaathiri zaidi raia. Marekani yasema mashirika ya msaada yanashindwa kufikia eneo la mgogoro Katika taarifa, msemaji wa baraza la usalama la kitaifa la Marekani Adrienne Watson,…

Read More

Walimu watakuiwa kuweka mifumo ya kuthibiti ukatili shuleni

SERIKALI imewaagiza walimu wakuu wa shule za msingi nchini kuhakikisha wanaweka mifumo na mikakati thabiti ya kuwalinda Watoto dhidi ya unyanyasaji na ukatili wa aina yoyote ili kufanya shule kuwa mazingira salama kwao. Hayo yamesema na Katibu Mkuu wa wizara ya Elimu sayansi na Teknoljia Profesa Carolyne Nombo katika hotuba yake iliyosomwa na Kamishna wa…

Read More

Israel yafanya operesheni ya kijeshi Jenin – DW – 05.07.2024

Operesheni hiyo ya Israel imejumuisha mashambulizi ya anga katika eneo hilo.Wizara ya Afya ya mamlaka ya Palestina imesema kuwa watu watano wameuwawa Ijumaa kutokana na operesheni ya Jeshi la Israel inayoendelea kwenye mji wa Jenin. Kulingana na wizara hiyo, Wapalestina wasiopungua 12 wameuwawa ndani ya wiki hii katika eneo hilo linaloshuhudia ongezeko la machafuko tangu…

Read More

RAIS SAMIA ASHIRIKI KWENYE KONGAMANO LA WANAWAKE WA KIISLAM ZANZIBAR  KUADHIMISHA MWAKA MPYA WA KIISLAM 1446-H/2024

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akihutubia Washiriki wa Kongamano la Wanawake wa Kiislam Zanzibar kwa ajili ya kuadhimisha mwaka Mpya wa Kiislam. Kongamano hilo limefanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Zanzibar tarehe 05 Julai, 2024. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia…

Read More