Benki ya CRDB yaipongeza Yanga kwa Jitihada za Kuendeleza Soka Nchini – MWANAHARAKATI MZALENDO

Meneja wa Benki CRDB Kanda ya Dar es Salaam Muhumuliza Buberwa ameipongeza klabu ya Yanga kwa jitihada wanazozifanya kuendeleza Soka nchini. “Nitakuwa mchoyo wa fadhila kama nitashindwa kuwapongeza Yanga kwa jitihada kubwa ambayo wameifanya kwenye maendeleo ya soka, tunayo furaha kuwatangazia kuwa tutakuwa pamoja kama mdhamini mkuu wa wiki ya Mwananchi, jambo la muhimu sana…

Read More

Sintofahamu maduka yakifungwa Stendi ya Moshi

Moshi. Wafanyabiashara wa maduka takribani 150 katika Kituo Kikuu cha Mabasi Mjini Moshi, mkoani Kilimanjaro wamefunga maduka yao wakiishinikiza Halmashauri ya Manispaa ya Moshi, kuwapunguzia kodi ya pango. Wafanyabiashara hao wamegoma leo Jumanne Julai 30, 2024 wakisema, wamelazimika kufunga maduka yao baada ya manispaa kushindwa kutekeleza ahadi waliyoahidi. Wamesema aliyekuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi…

Read More

Walimu shule ya Jumuiya ya Wazazi CCM Mbeya wagoma

Mbeya. Walimu wa Shule ya Sekondari Ivumwe jijini Mbeya, wamegoma kuendelea na kazi huku wakiziba geti la kuingia shuleni humo kwa magogo wakishinikiza kulipwa fedha za mishahara na malimbikizo ya posho. Hayo yamejiri leo Jumanne Julai 30, 2024 katika shule hiyo inayomilikiwa na Jumuiya ya Wazazi wa CCM Mkoa wa Mbeya. Mmoja ya walimu hao…

Read More

Kikwete: Samia amebeba mzigo mzito wa SGR

  RAIS mstaafu Jakaya Kikwete amesema amempongeza Rais Samia Suuhu Hassan kwa kubeba mzigo mzito katika kukamilisha mradi wa Reli ya Kisasa (SGR) kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma, huku vipande vingine vikiwa katika hatua mbalimbali za utekelezaji. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Kikwete ametoa kauli hiyo jana Jumatatu wakati akijibu swali…

Read More

Taasisi 16 za kilimo ikolojia hai kushiriki nanenane

  WADAU wa kilimo ikolojia hai kutoka taasisi 16 nchini wanatarajia kushiriki katika maonesho ya kitaifa ya nanenane 2024 ambayo yaanza tarehe 1 hadi 8 Agosti mwaka huu mkoani Dodoma. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Hayo yamesemwa na Mratibu wa Kikosi Kazi cha Mbegu Asili nchini, Abdallah Mkindi wakati akizungumza na mwandishi wa habari…

Read More

Mvua kubwa na mafuriko huko Asia Kusini yanahatarisha mamilioni ya watoto, UNICEF yaonya – Masuala ya Ulimwenguni

“Tuko katikati ya msimu wa masika, bado mvua, uharibifu na uharibifu umekuwa mbaya,” Sanjay Wijesekera, UNICEF Mkurugenzi wa Mkoa wa Asia Kusini, alisema katika taarifa ya habari. Nchini Nepal, watu 109, wakiwemo watoto, wamefariki kutokana na mafuriko na maporomoko ya ardhi msimu huu wa mvua za masika. Hii ni pamoja na watu 65 waliokuwa kwenye…

Read More

Kinana ajiuzulu Makamu Mwenyekiti CCM, Rais Samia aridhia

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameridhia ombi la kujiuzulu nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM, Abdulrahman Kinana ambaye amemwandikia barua ya kuomba kupumzika. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo tarehe 29 Julai mwaka huu na…

Read More

KILIMANIHEWA KUPEWA ELIMU NAMNA YA UTUNZAJI NA MATUMIZI SAHIHI YA FEDHA

Afisa Sheria Mwandamizi wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Bw. Ramadhani Myonza, akitoa elimu ya fedha kwa wanavikundi, wajasiriamali na makundi maalum katika ukumbi wa Kilimanihewa mkoani Mtwara. Na Chedaiwe Msuya,WF,Mtwara   Wafanyabiashara wametakiwa kujenga tabia ya kuweka akiba katika biashara zao ili kuhakikisha wanakuwa na maendeleo endelevu.    Afisa Sheria Mwandamizi kutoka Benki Kuu…

Read More