Meneja wa Benki CRDB Kanda ya Dar es Salaam Muhumuliza Buberwa ameipongeza klabu ya Yanga kwa jitihada wanazozifanya kuendeleza Soka nchini. “Nitakuwa mchoyo wa fadhila
Month: July 2024

Moshi. Wafanyabiashara wa maduka takribani 150 katika Kituo Kikuu cha Mabasi Mjini Moshi, mkoani Kilimanjaro wamefunga maduka yao wakiishinikiza Halmashauri ya Manispaa ya Moshi, kuwapunguzia

WINGA mpya wa Simba, Joshua Mutale kwa sasa anajiita Mwamba wa Zambia, kitu kilichowaibua baadhi ya mastaa wa zamani wa timu hiyo kumpa mbinu ya

Mbeya. Walimu wa Shule ya Sekondari Ivumwe jijini Mbeya, wamegoma kuendelea na kazi huku wakiziba geti la kuingia shuleni humo kwa magogo wakishinikiza kulipwa fedha

RAIS mstaafu Jakaya Kikwete amesema amempongeza Rais Samia Suuhu Hassan kwa kubeba mzigo mzito katika kukamilisha mradi wa Reli ya Kisasa (SGR) kutoka Dar

WADAU wa kilimo ikolojia hai kutoka taasisi 16 nchini wanatarajia kushiriki katika maonesho ya kitaifa ya nanenane 2024 ambayo yaanza tarehe 1 hadi 8

“Tuko katikati ya msimu wa masika, bado mvua, uharibifu na uharibifu umekuwa mbaya,” Sanjay Wijesekera, UNICEF Mkurugenzi wa Mkoa wa Asia Kusini, alisema katika taarifa

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameridhia ombi la kujiuzulu nafasi ya Makamu Mwenyekiti

Dar es Salaam. Kesi inayomkabili mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mkoani Tanga, aliyepotea kwa mwezi mzima kisha baadaye akapandishwa kizimbani na Jeshi

Afisa Sheria Mwandamizi wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Bw. Ramadhani Myonza, akitoa elimu ya fedha kwa wanavikundi, wajasiriamali na makundi maalum katika ukumbi wa