Washindi 60 Marathon NBC Dodoma kulamba milioni 80

Jumla ya washindi 60 wa mbio za NBC Dodoma Marathon msimu huu wanatarajiwa kuondoka na zawadi zenye jumla ya thamani ya Sh. 82 milioni pamoja na medali. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Mbio hizo zenye hadhi ya kimataifa zinatarajiwa kufanyika tarehe 28 Julai mwaka huu kwenye Uwanja wa Jamhuri, jijini Dodoma. Lengo la mbio hizo…

Read More

Tanzania kuifumua sera ya viwanda, biashara ndogo

Dar es Salaam. Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara wa Tanzania, Exhaud Kigahe amesema licha ya biashara ndogo na kati nchini kutoa ajira nyingi na kuchangia katika pato la Taifa lakini bado wanakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo masoko na kukosa mikopo. Ili kutatua changamoto hizo, amesema wako mbioni kupitia upya sera inayosimamia viwanda vidogo na…

Read More

Dk Biteko ataja wanachotaka wajasiriamali

Dar es Salaam. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati wa Tanzania, Dk Doto Biteko amesema wajasiriamali lazima watengenezewe mazingira wezeshi katika eneo hilo ili wapambane na umasikini ambao kila mmoja anauchukia. Dk Biteko amesema wanachotaka watu hao ni mazingira bora na rafiki hivyo jukumu la Serikali ni kuwatengenezea mazingira hayo. Dk Biteko ametoa pongezi…

Read More

Nyoni, Kagere bado wapo sana Namungo

WAKATI baadhi ya nyota walioitumikia msimu uliopita wakianza kuondoka klabuni, mabosi wa Namungo wameamua kuuma jongoo kwa meno kwa kuwazuia wachezaji wakongwe Erasto Nyoni na Meddie Kagere kwa lengo la kuwafanya kama viongozi wa wenzao ndani ya kikosi hicho. Chanzo cha ndani kutoka Namungo, kinasema awali nyota hao wa zamani wa Simba walikuwa wafyekwe hasa…

Read More

MENEJIMENTI YA SOUWASA YATEMBELEA UJENZI WA MRADI WA MIJI 28, SONGEA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Menejimenti ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Songea (SOUWASA), ikiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji Mhandisi Patrick Kibasa imetembelea maeneo matatu yanapojengwa matenki ya mradi huo yenye uwezo wa kuhifadhi Maji jumla ya lita millioni 9. Mhandisi Kibasa alimwambia Mkandarasi ahakikishe anakamilisha ujenzi wa matenki hayo kufikia mwezi Desemba 2024, kama alivyoahidi kwa kuwa ameshalipwa…

Read More

Anayedai kulawitiwa na RC wa zamani Simiyu aibuka

Dar es Salaam. Mkazi wa Mwanza, Tumsime Mathias (21), anayedai kulawitiwa na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Dk Yahaya Nawanda amefunguka, ikiwa ni mwezi mmoja baada ya tukio hilo. Amesema anapitia magumu akilazimika kuhama maeneo tofauti kwa ajili ya usalama wake. Tumsime ameeleza hayo leo Ijumaa Julai 5, 2024 alipozungumza na waandishi wa habari…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Mzize akaze buti haswa msimu ujao

MDOGO wangu Clement Mzize hajamaliza msimu wa 2023/2024 kinyonge, kwani amekuwa mfungaji bora wa Kombe la Shirikisho la CRDB akipachika mabao matano huku akiiwezesha Yanga kutwaa ubingwa. Hakuwa na takwimu nzuri katika Ligi Kuu kwa vile alifunga mabao matano na hii haikuwa kwake pekee bali hata kwa washambuliaji wengine wa Yanga, Kennedy Musonda na Joseph…

Read More